Habari za masiku kibao wanaJF wenzangu. Nashukuru mungu nimerudi kundini salama. Natumai tutakuwa wote sasa nilikuwa katika majukumu ya kujenga taifa na mapumziko pia. Niliwamiss sana ni nafuraha sasa tutakuwa pamoja. Just want to let you know that Mama Kubwa is back