Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Jamaa mmoja alijamba ndani ya daladala,pyuuu!!
Pyuu,pwuaaah!!!
Watu wote
wakamwangalia..ili kuzuga akatoa simu akajidai
"Hallo"
Watu wakacheka wakasema "kumbe ni
ringtone ya simu tu!"
Konda hakuvumilia akasema "ebwana mkuu we mkali
hiyo ringtone yako ni noma,ina mpaka na
harufu ya mayai ya kuchemsha!!"
Pyuu,pwuaaah!!!
Watu wote
wakamwangalia..ili kuzuga akatoa simu akajidai
"Hallo"
Watu wakacheka wakasema "kumbe ni
ringtone ya simu tu!"
Konda hakuvumilia akasema "ebwana mkuu we mkali
hiyo ringtone yako ni noma,ina mpaka na
harufu ya mayai ya kuchemsha!!"