Ondio Osio
Member
- Sep 11, 2011
- 24
- 3
Rushwa adui wa haki.,
Cheque zotee zinakuwa address to Mkurugenzi wa uhamiaji na ziienda kwenye accounts moja so no kuchakachuliwakivipi, kwani hizo cheque nazo si ni hela tu, unaenda kuzibadili maisha yanaendelea kama kawa
Mbona MUNGAI NI MKENYA HAWAMRUDISHI KWAO?
mbona wanamsumbua namna hii???
kila binadamu ana roho mbaya
Jela jela kubaya. Dawa yao malipo yawe yanafanyika kwa Cheque ndio utakuwa mwisho wa rushwa Idara ya uhamiaji
Wamewaonea tu! mbona wahindi na wazenji wanaishi Tanganyika bila vibari?
wanasababisha kivipi???Hao ndio wanaofanya maisha yazidi kuwa magumu. Afadhali wamemuondoa kudadadadeki
mbona wanamsumbua namna hii???
Kamata wageni wote na kurudisha makwao
mnh mbona siku nyingi anafukuzwa mara anarudishwa....................bashe sijui watampeleka wapy
Bora hata wahidi wanasaidi kuendeleza mzinguko wa hela.wa congo ni wanaongeza mzunguko wa maradhi
Wamewaonea tu! mbona wahindi na wazenji wanaishi Tanganyika bila vibari?