Ndalichako: Wanaodaiwa na HESLB tutaweka majina yao magazetini kuwashinikiza kulipa

Sijui kama makubaliano ya mkopo wa elimu ya juu yalikuwa kwamba serikali ikupe mkopo usome, kisha ikupe ajira ili ulipe huo mkopo. Mkopo unatolewa ili uweze kupata maarifa ambayo yanatakiwa kutumika kuajiriwa/kujiajiri ili mkopo urudi wengine waweze kufaidika nao
huu mkopo wangeupotezea tu,
 
Aweke majina magazetini akimaliza basi ndiyo atakuwa amefuta deni.
Tena aanze na wale mawaziri na marais waliokopeshwa kipindi kile wakiwa wanagoma pale UD
 
Mimi nilishatoa standing oder wachukue 12Million kwenye Account ya ESCROW nashukuru Mungu Mimi na mwanasheria wangu tulikubaliwa.
 
Ni kuharibu pesa tu kuweka jina la mtu asiye na uwezo wa kulipa gazetini. Au itakuwa na faida gani kumburuza mahakamani mtu ambaye hataweza kukulipa?
Serikali itawafunga then itafurahi, serikali ya Magufuli imefunga wadeni wake wa mikopo ya masomo .
Mashetani nyie
 
wanaangaika bure.. hii mikopo hatulipi kwa kuogopa magazeti...

pesa ni kodi zetu na tumeshazitumbua sana enz za chuo..


najua kuna watu wanaona wivu kisa wao walikosa kwa kutokuwa na vigezo... wanafurahia magazeti

maana enz nasoma mkopo ni div 1 na div 11 only....

hii hela hatulipi hadi nyerere, mkapa, kikwete na wengineo wote walipe..

kwanza hili deni halifungi mtu.. halina dhamana za nyumba sijui vyeti.. so hatuliogopiiiiii

hapa wakomae tu na waajiri watukate kinguvu maana wenyewe hatutawaletea helsb..

kwanza mlitukopesha kwa migomo na maandamano na hata kuwalipa nanyi helsb lazima mteseke mpaka muandamane nanyi ndio tunalipa ha ha ha...

boom raha sana mliolikosa poleni sanaaaaaas
 
ahahahaaaaa waniweke tu maana hamna namna, niuze uchi ndio niwalipe au??? Tangu umalize chuo kazi hujapata sasa unalipa na nn huo mkopo jama? Ni vizuri kama umepata kazi ukumbuke fadhila otherwise mweeehhh ni ngumu
 
Lowasa alisema angefuta madeni hayo ili elimu iwe free mpaka chuo kikuu na lakini magufuli alisema atahakikisha madeni yanalipwa. Ndalichako pamoja na wengine wengi wamesoma bure chuo maana elimu ni haki ya msingi kwa kila mtu. Mimi hata wakiweka magazetini sitalipa mbona wao wslisoma bure.
Ohooooo!!!
Watafukua mpaka makaburi waulize madeni yao !!!

Haya majina waweke tu magazetini wakiambatanisha na kazi wanazofanya watu.

Vilevile wasisahau kuambatanisha na majina wa watu wa Escrow kupitia Mkombozi Bank & Stanbic bank.
Wote ni wadaiwa tena hawa wa Escrow ni majizi
 
ahahahaaaaa waniweke tu maana hamna namna, niuze uchi ndio niwalipe au??? Tangu umalize chuo kazi hujapata sasa unalipa na nn huo mkopo jama? Ni vizuri kama umepata kazi ukumbuke fadhila otherwise mweeehhh ni ngumu
una maneno makali we mutu
 
Sijui kama makubaliano ya mkopo wa elimu ya juu yalikuwa kwamba serikali ikupe mkopo usome, kisha ikupe ajira ili ulipe huo mkopo. Mkopo unatolewa ili uweze kupata maarifa ambayo yanatakiwa kutumika kuajiriwa/kujiajiri ili mkopo urudi wengine waweze kufaidika nao
Hilo halina shida hata buku mbili kwa mwezi si sawa tu kutokana na kipato changu?
 
Huyu mama sasa anataka kuingizia serikali hasara tu ya kulipa magazeti yatoe majina yetu.
Kwa hali tuliyonayo sisi tunatamu watuongezee mkopo ili nifanye biashara nipate chanzo cha kuwalipa tofauti na hapo tutawekana hadi kwenye mbao za matangazo za VEO na WEO sina cha kuwalipa.over
 
wanaangaika bure.. hii mikopo hatulipi kwa kuogopa magazeti...

pesa ni kodi zetu na tumeshazitumbua sana enz za chuo..


najua kuna watu wanaona wivu kisa wao walikosa kwa kutokuwa na vigezo... wanafurahia magazeti

maana enz nasoma mkopo ni div 1 na div 11 only....

hii hela hatulipi hadi nyerere, mkapa, kikwete na wengineo wote walipe..

kwanza hili deni halifungi mtu.. halina dhamana za nyumba sijui vyeti.. so hatuliogopiiiiii

hapa wakomae tu na waajiri watukate kinguvu maana wenyewe hatutawaletea helsb..

kwanza mlitukopesha kwa migomo na maandamano na hata kuwalipa nanyi helsb lazima mteseke mpaka muandamane nanyi ndio tunalipa ha ha ha...

boom raha sana mliolikosa poleni sanaaaaaas
ni kweli pesa zilitoka kwa mbinde sana.
Watuvumilie tu
 
Weka majina mama,yaani watu wanajua tu kuweka heshima bar na kuwa na michepuko zaidi ya kumi ila kulipa mkopo hawalipi na walipe sasa,ila Ndalichako jamani naomba wote waliosomeshwa na serikali walipe sio tu kuanzia wa mwaka 1994,Yaani wote walipe hata wale waliomaliza kabla ya uhuru,maana huwa sioni mantiki why walianzia 1994?Pius Ng'wandu hapa alichemka kwa kweli
 
Back
Top Bottom