MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Huyu ni Pauline GekulCecilia Pareso ni Dada anayefanya tafiti na kutema sense natamani Agness Marwa atazame hii video.
Huyu ni Pauline GekulCecilia Pareso ni Dada anayefanya tafiti na kutema sense natamani Agness Marwa atazame hii video.
Umebase wapi kuhitimisha hivyo?Duh! Prof. Ndalichako na wewe kumbe ndio wale wale!!?
Waziri wa elimu Joyce Ndalichako amebanwa kuhusu kujitengea bilioni 8 kwa ajili ya kujikarabatia tu ofisi yake huku kukiwa na upungufu mkubwa wa miundombinu ya kufundishia na fedha ya kufidia elimu bure zikiwa hazitoshi
Mbunge huyo amedai bilioni 8 zikigawanywa kwa madarasa ni madarasa mengi yatajengwa
Waziri wa elimu Joyce Ndalichako amebanwa kuhusu kujitengea bilioni 8 kwa ajili ya kujikarabatia tu ofisi yake huku kukiwa na upungufu mkubwa wa miundombinu ya kufundishia na fedha ya kufidia elimu bure zikiwa hazitoshi
Mbunge huyo amedai bilioni 8 zikigawanywa kwa madarasa ni madarasa mengi yatajengwa
Duh! Bilioni 8 kukarabati ofisi?
Hivi Pareso ndiye huyo huyo Gekul?Cecilia Pareso ni Dada anayefanya tafiti na kutema sense natamani Agness Marwa atazame hii video.
Duh! Bilioni 8 kukarabati ofisi?
Thanks mkuuHuyu ni Pauline Gekul
Nimechanganya mafile, huyu ni GekulHivi Pareso ndiye huyo huyo Gekul?
Unazungumzia ofisi gani binti.Kama ni makao makuu ya Wizara 'it might' be realistic,inategemea liko katika hali gani,ingawa naona makisio yanatia wasi wasi kidogo.Kama ni office yake binafsi ni very unrealistic.
Maaadui kvp mkubwa embu tuwe wawazi 8000000000 kwa ajili ya ukarabati wa office daaaah watakaomtetea wakapimwe akili. Mm naupenda utendaji wa ndalichako lkn kwahil cmuungi mkonomama ndalichako ana maadui wengi, na nchi yetu ukiwa na maadui wanaanza kukutafuta kwa mambo ya uongo. akili ya kawaida haikubali hilo jambo kuwa kweli. akili ya siasa na akili ya chuki ndio pekee inayoweza kukubali. uongo umekua mwingi sana kwenye siasa na kwenye media siku hizi.
Porojo..