Nchini kenya wabunge ni lazima wawe na shahada

Kenya wana uzalendo ???!!!!??? Hakika Nilikuwa silijui hili, mi nilikuwa nadhani hadi sasa Kenya ni nchi tu si taifa, hivyo uzalendo wa kitaifa hawajafikia. Asante kwa taarifa.
Soma taratibu itanielewa .
 
Ungejaribu kutuambia hizo shahada za Kenya zimesaidia vp kuondoa ufisadi na kuleta maendeleo!
 
Kenya wana uzalendo hasa linapo kuja swala la kitaifa lakin tanzania tuna ubinafsi hasa tunapo jadili mambo ya kitaifa na hilo ndio litakalo sababisha nchi hii isiendelee kamwe.
Haya maneno unayosema ukiwa Kenya au Tanzania. Kenya hakuna umoja wa aina yoyote, Kenya kuna kulinda maslahi na kulinda kabila.
 
Hapa wanahitaji shahada tu, hawataki kujua ulipita au la, hio Ni sababu Yale maisha ya chuo kukuu Hua yanafungua mtu skili, anakia Na uwezo wa kuongea vizuri, kufikiria zaidi...Na mengineo


Ability to Make Better Choices
Earning a college degree enables people to to make better choices the rest of their lives. Not only does a college education provide an individual with new knowledge and information, it teaches them how to think critically, how to break apart and reconstruct complex issues, and how to solve problems. Earning a college degree helps people make better choices about everything from mortgage rates to investment plans to launching a new business.

Ability to Communicate More Effectively
A college degree also has a very positive impact on an individual’s written and verbal communication skills. Of all the benefits provided by earning a college degree, this is one of the most valuable. Communication skills will influence just about every aspect of your life. The ability to communicate clearly, concisely, and persuasively with help you land the perfect job, improve your career advancement opportunities and enhance your interpersonal relationships with family members and associates.



Kwa mfano ngalia hili jimbo la Kilifi, jambo la kwanza wabunge wa jimbo la Kilifi MCAs walilofanya Ni kuanza kujadiliana Ku ban minisketi Na wanaume wanaovaa suruali chini ya kiuno Bill to ban mini-skirts in Kilifi in its final stages : Jambonewspot.com
Kilifi County Ni kubwa Sana, maeneo ya ndani ndani Ni Mmoja wapo ya maeneo ya mashambani maskini zaidi Kenya nzima, badala ya hawa ma MCA kujishughulisha Na majadiliano ya kuinua maisha ya watu walipoteza miaka miwili ya kwanza wakijadiliana Ni gari aina ghani watakalo pewa, Na Kama litakuja Na dereva wake Na mlinzi.......walipokatazwa wakatishia ma govana wao impeachment, ikabidi wapewe wana hotaka kisha wakaongezewa pesa za trip za kuenda nchi za kigeni kutembea... Kama wangekua walienda chuo kikuu Na wako Na shahada huu ushamba wote ungeopotea.... ...kitu Kama gari ngekua Ni jambo dogo Sana kwao..... Wengine wao hadi sasa hawajui hats kupitisha sheria au kuongea kibunge, kila wakisimama kuongea wanakosolewa Na spika kwa kuvunja sheria za bunge
They won't understand you at all coz politics in Tz is a matter of parties interests to take over the power and care less abour the well being of the majority and our nation at large

How can a primary school graduate argue critically bout complex issues of a state such as international contracts and diplomatic issues !!!!!.......

Alafu someone will come here opposing you huku katiba yetu ikihalilisha mtu anayejua kusoma na kuandika tu kuwa mbunge


Mimi ninasema mpo katika right move .. Anayetaka uongozi na asome kwa bidii ili afunguke akili

No wonder our parliament is full of shame
 
Sisi eti ajue kusoma na kuandika...... Halafu mshangae kwanini wenzetu wanasonga....
 
Hii ikija Tanzania tutapoteza Wabunge sana hasa chadema kuanzia Mbowe, Lisu Tundu mpaka akina Msigwa nje!
Lakini tutapata wabunge wengi wenye degree...usifikirie kupoteza tu....zama hizi degree za kumwaga.....wote uliyowataja kama kweli hawana degree watakuwa replaced tu...lakini hukuwataja wa chama tawala.... tatizo liko wapi
 
Wasomi wengi wa ccm ni wajinga sana kuliko darasa la saba ya lema
 
Mnao ijua nchi yenu ina washinda.

Safe your backwaters country first. We have our own issues, we appreciate them and on a daily basis we try to find solutions to them. Yenu... The three things that will finish you is UWOGA, UJINGA na UBINAFSI....
 
Jana bunge la jamuhuri ya kenya lilipitisha mswada unao mlazimu kila mbunge kuwa na degree angalao moja. Vipi unaonaje na sisi tukaiga hilo
WATANZNIA KUNA NYAKATI WAWAKILISHI WETU WANAKUWA KAMA MAJUHA KULE BUNGENI. UNAKUMBUKA KUNA WAKATI BUNGE LILITUNGA SHERIA YA KUHALALISHA RUSHWA(TAKRIMA)? . HII NI KWA SABABU WAO NDIO WALIOKUWA WAKITOA RUSHWA NYAKATI ZA UCHAGUZI HIVYO RUSHWA IKAWA HALALI WAKATI WA UCHAGUZI.
SASA HIVI SIFA YA MBUNGE NI KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA TU. JE HUU SIYO UJUHA?
 
labda mbowe ana shahada ya kupigia kura tu.2005 hiyo sheria inayomtaka mgombea awe na shahada ilikua haijaanza kutumika.Halafu unaweza kupata cheti cha form four cha mbowe?nakupa laki fasta
KAWAULIZE IHUNGO HIGH SCHOOL, ANA DIVISION ONE NZURI SANA.
 
Ila mimi ningeshauri hata humu mijini wale wenyeviti wa mitaa ilibidi wawe na atlest form four, uelewa wao mdogo unaleta changamoto sana mwingine anataka rushwa hata kuiomba hawezi anaishia kuongea utumbo tu!
 
Back
Top Bottom