Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Kuna mambo kadhaa yamenisukuma kuweza kutafuta profile ya huyu mheshimiwa especially ile title yake ya Dr ilivyopatikana, maana binafsi nilikuwa sijajua mh ni Dr wa kutibu, wa PHD au wa kupewa. Nikacheki kwenye hii link hapa chini. Hakika inanichanganya, sasa sijui ni typing error ya huyo administrator wa bunge au ndio uhalisia ?
Parliament of Tanzania
Ukicheki kati ya mwaka 2001 mpk 2003, Mh. alisoma masters mzumbe university halafu at the same time akawa amesoma PHD hicho chuo kingine. Hiyo haitoshi, katika kipindi hicho hicho alikuwa anafanya kazi NEMC kama administrative officer. Achilia mbali hivyo vyeo vya kichama.
Hivi hii inaweza kuwa ndio sababu ya huyu mheshimiwa kutoendana kabisa na hiyo title ya Dr ?
Kiukweli mtu kuwa na Dr. ya Phd, hapa sizungumzi Dr wa mifugo, hata the way anavyopresent issue yoyote unapick kwamba jamaa amepitia makablasha ya kutosha. :A S-confused1:
Parliament of Tanzania
Ukicheki kati ya mwaka 2001 mpk 2003, Mh. alisoma masters mzumbe university halafu at the same time akawa amesoma PHD hicho chuo kingine. Hiyo haitoshi, katika kipindi hicho hicho alikuwa anafanya kazi NEMC kama administrative officer. Achilia mbali hivyo vyeo vya kichama.
Hivi hii inaweza kuwa ndio sababu ya huyu mheshimiwa kutoendana kabisa na hiyo title ya Dr ?
Kiukweli mtu kuwa na Dr. ya Phd, hapa sizungumzi Dr wa mifugo, hata the way anavyopresent issue yoyote unapick kwamba jamaa amepitia makablasha ya kutosha. :A S-confused1: