Amesema kama serikali hatupo tayari kusubiri watu wauwane ndipo tuseme tukae chini,inatosha na wapo tayari kukaa kimazungumzo na taasisi za kidini.
My take: kauli kama hii ilitakiwa mapema mnoo na sio mpaka watu walaluwane, na isiwe kwenye dini hata siasa na mambo mengine.
Source Channel Ten Habari saa moja.
Nawakilisha
Huyu m???ng()%%% nae anaongea nini?Amesema kama serikali hatupo tayari kusubiri watu wauwane ndipo tuseme tukae chini,inatosha na wapo tayari kukaa kimazungumzo na taasisi za kidini.
My take: kauli kama hii ilitakiwa mapema mnoo na sio mpaka watu walaluwane, na isiwe kwenye dini hata siasa na mambo mengine.
Source Channel Ten Habari saa moja.
Nawakilisha
Amesema kama serikali hatupo tayari kusubiri watu wauwane ndipo tuseme tukae chini,inatosha na wapo tayari kukaa kimazungumzo na taasisi za kidini.
My take: kauli kama hii ilitakiwa mapema mnoo na sio mpaka watu walaluwane, na isiwe kwenye dini hata siasa na mambo mengine.
Source Channel Ten Habari saa moja.
Nawakilisha
Umeona redio Iman na Al-nuur tu? Chuki ya waziwazi. Kajipange upyaNchimbi alikuwa likizo? Where was he? Compare his reaction hii meltdown iliyotea Dar na Zanzibar na jitihada zake za kujiweka karibu na wanaandishi wa habari wakati wa mauaji ya Mwangosi? Photo opporunity?
Na anaamini suluhisho la hii hali ya sasa wanalo viongozi wa dini? Kabla ya kuwa waziri wa mambo ya ndani alikuwa waziri wa habari, je, aliridhika na contents za radio Imaan? au gazeti la Al-Nuur?
Na inakuwaje waziri wa mambo ya ndani anajitokeza so late?
Shari unaijua na kuiweza wewe?? Unaclick simu yako tu unadhan maisha rahis hivyo!! Na isitoshe hata nchini haupo hapa kazi kuchochea tu ili mpewe ukimbizi huko! Nimegundua wengi wa watoa porojo humu hawapo nchini na wanaombea kinuke wapate hifadhi ya kudumu huko,njoo ulingoni hapawatawala waache kusema haya yasiyo maana wazungumze kitu gani hapo?
wazungumze kuhusu uvamia kiwanja, hilo linahitaji mazungumzo!!!!!!!! ebo!!
watu wanfanya uchochezi, mnataka tuwalee, hao ni kuwadhibiti Ndg. yangu Nchimbi.
usipofanya hivyo watafanya kama wake Boko haram kule nigeria.
hao ni watu shari wakabiliwe kishari.
kama unadhani nadanganya subiri mtafanya mazungumzo leo, kesho utasikia
redio yao ya immaaaan pale moro itakavyokushambulia tena si ajabu huenda
hata sasa waeanza kukushambulia, maana ndiyo kipaza sauti chao, dawa ni
kamata weka ndani wakutanishe na hakimu haki itendeke huko,hakuna kuzungumza
na mhalifu in the name of religion.
huo ni uhalifu serikali kazi yake happo kamata weka ndani, peleka mahakama
ni kabidhi kwa hakimu sheria nachukua line yake kwisa
Utamuelewa vipi wakati anataka kuwapa nafasi waislamu ya kutoa dukuduku lao. Utaelewa kesho kule mnapokutana!Nawahi kwenye pombe haramu,ngoja nikapombeke labda hasira zitapungua.Huyu Waziri simuelewi,yupo full tabasamu.Ntarudi nikishalewa
Kweli mkuu wangu, wangelivunjilia mbali, au kuacha mabaraza mengine yasiyofungamana na Bakwata yaanzishwe.
Hivi nikuulize, linalowasimamia Baraza moja tu linalowasimamia Wakatoliki, Waanglikana, Walutherani, Wasabato, Walokole n.k.kwa pamoja?? Linaitwaje??
watawala waache kusema haya yasiyo maana wazungumze kitu gani hapo?
wazungumze kuhusu uvamia kiwanja, hilo linahitaji mazungumzo!!!!!!!! ebo!!
watu wanfanya uchochezi, mnataka tuwalee, hao ni kuwadhibiti Ndg. yangu Nchimbi.
usipofanya hivyo watafanya kama wake Boko haram kule nigeria.
hao ni watu shari wakabiliwe kishari.
kama unadhani nadanganya subiri mtafanya mazungumzo leo, kesho utasikia
redio yao ya immaaaan pale moro itakavyokushambulia tena si ajabu huenda
hata sasa waeanza kukushambulia, maana ndiyo kipaza sauti chao, dawa ni
kamata weka ndani wakutanishe na hakimu haki itendeke huko,hakuna kuzungumza
na mhalifu in the name of religion.
huo ni uhalifu serikali kazi yake happo kamata weka ndani, peleka mahakama
ni kabidhi kwa hakimu sheria nachukua line yake kwisa
Simple,....
....
....
....
Sasa wana shida na Bakwata wanavunja na kuiba makanisani na kuiba kwenye bar ? Au wana ugomvi na Bakwata wanaukataa Muungano? Hii ni akili gani ?
Kweli mkuu wangu, wangelivunjilia mbali, au kuacha mabaraza mengine yasiyofungamana na Bakwata yaanzishwe.
Hivi nikuulize, linalowasimamia Baraza moja tu linalowasimamia Wakatoliki, Waanglikana, Walutherani, Wasabato, Walokole n.k.kwa pamoja?? Linaitwaje??
We paroko usitoke povu hilo la Nchimbi lishapita tafuta lingine. Kama hutaki hamia Congomkuu umenena sina cha kuongeza..unalike yangu ila nipo kwa simu.!
waongee nini na vikundi vya kidini.? Haoni kama ni kuhalalisha udini.?....akianza kusikiliza vikundi vya kidini vya kiislamu sawa na kuhalalisha makundi ya kidini tanzania na ndio mwisho wa tanzania moja.!
Unajitahidi kuandika ila inaonekana sio mfatiliaji? ponda na wenzake tunaomuunga mkono tumeomba taasisi yetu isajiliwe lakini serikali inakataa jaribu kufatilia hilo utaugundua ukweli.Sina hakika kama Islam imegawika kama ilivyo kwa Christin. Kwa wakristo kila denominationa ina muundo wake na organisationa yake kwa sababu hizi denominations are foundamentally different from one another although wote wanatumia kitabu kimoja - biblia.
Nijuavyo mimi under Islam kuna Shia na Suni. Hata hivyo ni kitu gani hasa kinachofanya waislam wasiunde organisation yao kulingana na kundi walimo? Kuwe na chombo cha Shia na kingine kiwe cha Sunni? Shida iko wapi?
Au watu wanataka mfani Sunni wawe na mabaraza zaidi ya moja?
Umeona redio Iman na Al-nuur tu? Chuki ya waziwazi. Kajipange upya
Mkuu acha jazba za kidini; aliposema serikali ipo tayari kuongea na vikundi vya kidini; hakumaanisha waislamu peke yao; ni taasisi za dini zote.
Chama
Gongo la mboto DSM