Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Wanajamvi,
Katika Gazeti la mwananchi leo, kuna taarifa kuwa Waziri wa mambo ya ndani Nchimbi ameamua kuunda tume kufanya uchunguzi wa kijana aliyepigwa risasi na polisi na kufariki dunia mkoani Morogoro, wakati Polisi ilipozuia maandamano ya mapokezi ya viongozi wa Chadema.
Nchimbi anasema kijana huyo alikuwa umbali wa mita 300 toka eneo la vurugu na polisi wala hawaakujua mwanzo kama kuna kijana kajeruhiwa na risasi bali raia waliokuwa naye jirani kijana huyo.
MY Take:
Tume hii itakuwa na jipya?? Sidhani
Katika Gazeti la mwananchi leo, kuna taarifa kuwa Waziri wa mambo ya ndani Nchimbi ameamua kuunda tume kufanya uchunguzi wa kijana aliyepigwa risasi na polisi na kufariki dunia mkoani Morogoro, wakati Polisi ilipozuia maandamano ya mapokezi ya viongozi wa Chadema.
Nchimbi anasema kijana huyo alikuwa umbali wa mita 300 toka eneo la vurugu na polisi wala hawaakujua mwanzo kama kuna kijana kajeruhiwa na risasi bali raia waliokuwa naye jirani kijana huyo.
MY Take:
Tume hii itakuwa na jipya?? Sidhani