Nchimbi asema Big Brother ni kero

Katika mambo yote ya muhimu wameona Big Brother? Kweli kabisa bungeni mkae mkijadili hiki kipindi? Duh!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mkiongelea BBa mnanikumbusha jinsi Bhoke alivyogawa uroda na kusema alikuwa mle yeye kama yeye.
Naona hawa watu wanaitaji ushauri tuu kabla ya kwenda kule.
Sasa nchimba pili pili yaliwa shamba wewe yakuwashia nini?watu wanapelekwa kule na makampuni binafsi na kuwatch iyo unaitaji kuwa mteja wa dstv watz wangapi wana uwezo huo wa kuwatch dstv kama si wakubwa.
Au ulitaka tujue kuwa na wewe umefunga dish la dstv.
To me BBA iendelee tuu as hulazimishwi kwenda wala kuwatch tv na after all ni international haiko kwa local channel zetu
 
Kwani mtu analizimishwa kukiangalia? Its the matter of choice!
Rich alivyorudi na USD 200,000, mbona kila mtu alimpongeza! Kwa hili napingana na serikali yangu kwa 100%

Tena nakumbuka, kuna mheshimiwa mmoja wa serikari ya ccm alikuwa miongoni mwa waliompokea.
 
tuwe tunapeleka wanaume tu nini? Watenda kazi na wala siyo watendewa kazi.

kweli mana mfano tunavopeleka madem hafu wakirud hapa unasikia jamaa flan alimkamua yan inatia kichefuchefu kwa inchi,
ila kama ingekuwa men fresh tu mana ni kama superiority flani hv!

"man is all above all on earth"
 
tuwe tunapeleka wanaume tu nini? Watenda kazi na wala siyo watendewa kazi.

kweli mana mfano tunavopeleka madem hafu wakirud hapa unasikia jamaa flan alimkamua yan inatia kichefuchefu kwa inchi,
ila kama ingekuwa men fresh tu mana ni kama superiority flani hv!

"man is all above all on earth"
 
mimi linanikeraa pale washiriki wanapojitangaza wanawakilisha nchi.. kwa nini wasiende kule kama wao binafsi...
 
Kiukweli ni kipindi kiovu sana, nilimkuta rafiki yangu ana video sex za big brother yaani kina rich wapo uch* wa nyama, nimesikitishwa sana na hilo. Na mtunzi wa hiyo series ana dini ya kishetani na hajifichi alikiri hilo na ametumia picha za kishetani ktk jumba na hata lego yao ni jicho alama mbaya sana, kuna vichwa vya mbuzi na nyota zinazotazama chini, ujinga mtupu anataka kuusambaza ktk dunia. Mungu nusuru dunia hii. Naunga mkono hoja.
 
Yule Bhoke nasikia anatoka kule mrugata, nkongore, Tarime Mara. Baba yake hana cha TV achilia mbali dstv. Sasa kwa kwa wenye uwezo wao uangalie mtoto wako anakunjwa namna ile, aibu sana hiyo jamani. Bravo Nchimbi
 
mimi linanikeraa pale washiriki wanapojitangaza wanawakilisha nchi.. kwa nini wasiende kule kama wao binafsi
Njiwa umenena,
eti mshiriki anawakilisha nchi yake kwa kumegwa au kumega, aaaagh!
 
Akihitimisha hoja za bajeti ya Wizara yake 12/08/11 Dr. Nchimbi amesema kuwa kipindi cha Big Brother ni kero na serikali haikuingi mkono. Wakati akisema hayo wabunge wengi walionekana kupiga madawati yao ikimaanisha kuwa wanaunga mkono. Kwangu mimi nimejiuliza:

1. Waziri Nchimbi na hao wabunge waliolalamika kuhusu Big Brother walikijuaje? Ina maana wamekuwa wanakiangalia siyo?

2. Mambo mengi yaliyo kwenye big brother yana tofauti gani na mambo tunayoona huku mitaani hususani watoto wa vigogo?

1. Ni dhahiri waziri na hao wabunge wamekuwa wakiangalia big brother na ndipo walipoona kasoro na athari zake na ndo maana wanapinga, tungewaona mataahira au malimbukeni kama wangekuwa wanapinga kitu ambacho hawajakiona!

2. kama mambo yanayofanyika big brother yanashabihiana na yale ambayo wewe unasema unayaona mitaani, tunachopima hapa ni maudhui ya mambo hayo kama yana faida kwa jamii au la! mitaani kuna umalayai, ujambazi, matumizi ya dawa za kulevya,wizi n.k kwa maana yako wewe, kwa kuwa haya yanafanyika mitaani basi tuyahimize kwa kutengeneza vipindi kwenye vyombo vya habari ili kushawishi jamii kufanya mambo hayo? yanafanyika mitaani kwa kuwa watu wamekosa maadili. Ina maana wewe kwa akilii zako utafurahia mwanao akiiga tabia hizo just because tabia kama hizo ziinafanyika na kuonekana mtaani kwako!?

Wala huhitaji kuwa na upeo wa mtoto wa chekechea kuona madhara ya tabia hizo kwa jamii! unless otherwise unatumia akili za kuleee aliposema masaburi (za mpododo) ambapo bila shaka na wewe ni mdau wa akili hizo!
 
1. Ni dhahiri waziri na hao wabunge wamekuwa wakiangalia big brother na ndipo walipoona kasoro na athari zake na ndo maana wanapinga, tungewaona mataahira au malimbukeni kama wangekuwa wanapinga kitu ambacho hawajakiona!

2. kama mambo yanayofanyika big brother yanashabihiana na yale ambayo wewe unasema unayaona mitaani, tunachopima hapa ni maudhui ya mambo hayo kama yana faida kwa jamii au la! mitaani kuna umalayai, ujambazi, matumizi ya dawa za kulevya,wizi n.k kwa maana yako wewe, kwa kuwa haya yanafanyika mitaani basi tuyahimize kwa kutengeneza vipindi kwenye vyombo vya habari ili kushawishi jamii kufanya mambo hayo? yanafanyika mitaani kwa kuwa watu wamekosa maadili. Ina maana wewe kwa akilii zako utafurahia mwanao akiiga tabia hizo just because tabia kama hizo ziinafanyika na kuonekana mtaani kwako!?

Wala huhitaji kuwa na upeo wa mtoto wa chekechea kuona madhara ya tabia hizo kwa jamii! unless otherwise unatumia akili za kuleee aliposema masaburi (za mpododo) ambapo bila shaka na wewe ni mdau wa akili hizo!

For the record napenda utambue kuwa nafikiria kwa ubungo wangu na ningeshukuru kama ungetumia lugha ya kistaarabu kujibu mchango wangu kunikashfu.

Now, Big brother - for better for worse imeanza leo? Why now? Hao wabunge wamekaa kimya mpaka inachuja sasa big brother. There is nothing new. Richard alivyorudi alipokelewa kwa mbwembwe kubwa tena wakiwemo viongozi. Kama umesoma michango ya watu mbalimbali hapa utaona hiki kinachoitwa maadili hakiko confined tu kwenye big brother ila kwenye outlets nyingine .e.g yapo magazeti/vijarida ambavyo watu wanaona vina picha zinazopitiliza mpaka. Hivi nikuulize, ni watu wa aina gani wenye uwezo wa kuwa na DSTV? Ni mambo gani mengine (achilia maadili mazuri) yanaoneshwa humo?

Mara nyingi nimekuwa nasikia viongozi na hasa wabunge wakisema 'maadili kwa vijana wetu'! Hapa inaonekana kama hawa vijana ndio tu wa kuangalia. Lakini niseme kama vijana wa leo wameharibika sijui watu wazima nao wanawezaje kujisafisha. Nyumba ndogo zimetapakaa kila kona. Hii ni kwa kwa sababu ya Big Brother? Hao changudoa tunaowaona barabarani usiku nao ni kwa sababu ya Big Brother? Waalim wanatembea na wanafunzi wao pia ni kwa sababu ya Big Brother?. Nenda Dodoma sasa hivi uone kulivyochangamka! Na je, ni mara ngapi tunaona wamama watu wazima wanakata MAUNO kwenye TV na nyimbo zao za taarab? All I am saying is, why big brother and not all these BROTHELS zinazoota kila kukicha?
 
Mapoaozi,umenena huyu waziri nashindwa nimuweke kundi lipi,kwanza anaonekana ni mwangaliaji mzuri wa hicho kipindi anapenda kama hapendi,hebu mwangalie kero za uwanja wa taifa mmmmm!!!!na timu ya taifa inavyaboronga sio kero??YUKO TAYARI KWENDA kuangalia bendi zinazocheza kwa kukata mauno akiwa na wanae kwake hilo si tatizo ovyooooooo,suala la bei za DSTV kulipia kwa dola hilo si tatizo kwake,huyu si yule ambae yuko kwenye orodha ya walionunua digrii??????naona bann inaninyemelea.
 
namuunga waziri mkono ila alipaswa kuchukua hatua zaidi.lile tukio ni la aibu sana tena mtu anachukuliwa kuwakilisha nchi!lolote la kuchafua image yetu nitalipinga.tafuta maana ya lile onesho ujue bandugu
 
Wanajamii!
Mi nadhani Tanzania ni SECULAR state haina dini yeyote na tuna watu wenye mila tofauti na maadili tofaut mfano wamasai kwa wapemba, Wasandawi kwa Wadigo, wahaya kwa wazaramo. Watu hawa tamaduni zao tofauti mfano Wasandawi baadhi hadi leo wanavaa magome ya miti wakati wapemba wanajifunika BURQA. Hivyo hatua ya kuangalia kitu Kama kipindi na Kuhukumu kuwa ni kinyume na utanzania hiyo inatokana na mtazamo wako wewe individually na kabila lako na si UTANZANIA!
Pia Ndugu zangu Wahenga wanasema ACHA UNAFIKI ONDOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO NDIPO............ na kwa hili Nadhani NCHIMBI ajiulize matendo yake na ya wenzake kama viongozi yanawapa moral authority kuwashambulia wenzao kuwa wanavunja maadili ya nchi yetu?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Wanajamii!
Pia Ndugu zangu Wahenga wanasema ACHA UNAFIKI ONDOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO NDIPO............ na kwa hili Nadhani NCHIMBI ajiulize matendo yake na ya wenzake kama viongozi yanawapa moral authority kuwashambulia wenzao kuwa wanavunja maadili ya nchi yetu?

On the red: Thank you. Na tusubiri Miss Tanzania siku zijazo, tutaona waheshimiwa wengi tu wakiserebuka na ma-miss!
 
Dr Nchimbi umetufumbua macho na issue ya TFU. Ruge na 9.8 M ya pango la Nyumba iliyotolewa serikali.. Thanx..ILa kwa biG bROTHer mmm .. kamuhulize Bhoke
 
Back
Top Bottom