Nchimb na Mwema Wanasubiri nini Ofisini?

It is too sad news to me, naichukia Selikali jeshi na mamlaka zake za haki zote.
Na nyie wanaharakati nawaona Siasa tu sijui muna harakati nini
 
Hawezi jiuzulu huyo mfakamia tumbo
Huyu 'ngesem' namchukia sana,amezoea kuua,wanaosema amewekwa kwenye hiyo wizara makusudi kwa lengo hilo wako sahii kabisa.Alishiriki kikamilifu kumuua Ipyana Malecela,na kama anataka tuweke uozo wake hadharani basi ajaribu kugombea urais aone."I hate this particular silence killer"
 
Nchimbi emmanuel ni mafia na nimoja ya wanamtandao waliomwingiza jakaya mrisho kikwete madarakani,na kapewa wizara hiyo kwa lengo maalum ya kutekeleza mauaji yenye utata,masitegemee kuwa atajuzulu kwa sababu yuko kazini kutekeleza aliyotumwa na bosi wake.fredrick sumaye aliwahi sema "anayefagia njia ya kwenda ikulu kwa kutumia kalamu na karatasi basi akifika huko atatumia risasi ili aweze kutawala mwaka 1995" waaandishi wa habari rudini kwa sumaye awaeleze alikuwa anakusudia nini au maana yake nini kwa sababu hii ilikuja baada ya yeye na wagombea wengine wa ccm kuchafuliwa sana na vyombo vya habari!!!!!!!!!!!!!!!sasa mrudi mkamuulize aliyoyasema ndio yanayotokea sasa.
 
Nilimuuliza askari mmoja akaniambia kuwa bomu la machozi linaua pale anayelilipua yupo karibu sana na mtu, na ndio maana yanalipuliwa kwa silaha kuelekezwa juu na siyo vinginevyo.
 
Neno kujiuzulu halipo kwenye dictionary za viongozi wa CCM walishalifuta siku nyingi. Hivi mnavyoongea hawaelewi mnamaanisha nini.
 
Rais Mwinyi alijiuzulu akaja kuwa rais wa nchi hii kwa kuwa alionekana ni mwajibikaji, kama unataka kujenga imani ya watanzania kwako, achia ngazi haraka. Vinginevyo kupata urais labda ulete alshabab waibe kura
yeye mwenyewe ndiye anayewaagiza wafanye hivyo,chagonja amesema wao wanatii maagizo waliyopewa na wakubwa wao.
 
Emmanuel Nchimbi mpaka sasa hujaona sababu ya kujiuzulu? Je unafurahia mauaji haya?

Mbaya zaidi unakuja na matamko yenye utata kuhusu haya mauaji. Hivi ni lini viongozi wa nchi hii mtaacha kuwa wanafiki na msiopenda kuwajibika. Na mbona matukio ya wananchi kuuawa na polisi yameongeza sana baada ya wewe kupewa hii wizara? Kwa nini tusiamini kwamba ulipewa hii wizara kwa kazi ya kuua watanzania? kwa nini tusiamini kwamba wewe ndio unatoa maagizo ya mauaji haya.

Nasikikia una mpango wa kugombea urais 2015, hivi ukipewa madaraka si ndio utachinja watu hadharani. Hii haikubaliki, Nchimbi lazima uondoke!!!!

Mkuu hasikilizi MAONI wala ushauri wa mtu kwemye mambo yanayowezekana kuathiri ULAJI wake. Usitegemee kusikia anajiuzuru labda tukamsombe ofisini na kumtoa kama KIPANGA aplivyompiga mkoloni!!!!

Hii mijitu ni MIBINAFSI KULIKO KITU TUWEZACHO KUFIKIRI; mawazo ni MIMI MIMI MIMI TUUU!!!!! Hawakutakiwa hata kuongoza hizo familia zao (wengine)
 
Emmanuel Nchimbi mpaka sasa hujaona sababu ya kujiuzulu? Je unafurahia mauaji haya?

Mbaya zaidi unakuja na matamko yenye utata kuhusu haya mauaji. Hivi ni lini viongozi wa nchi hii mtaacha kuwa wanafiki na msiopenda kuwajibika. Na mbona matukio ya wananchi kuuawa na polisi yameongeza sana baada ya wewe kupewa hii wizara? Kwa nini tusiamini kwamba ulipewa hii wizara kwa kazi ya kuua watanzania? kwa nini tusiamini kwamba wewe ndio unatoa maagizo ya mauaji haya.

Nasikikia una mpango wa kugombea urais 2015, hivi ukipewa madaraka si ndio utachinja watu hadharani. Hii haikubaliki, Nchimbi lazima uondoke!!!!

Ninakuunga mkono kwa asilimia 100.
 
Rais Mwinyi alijiuzulu akaja kuwa rais wa nchi hii kwa kuwa alionekana ni mwajibikaji, kama unataka kujenga imani ya watanzania kwako, achia ngazi haraka. Vinginevyo kupata urais labda ulete alshabab waibe kura

Swala la ulimboka limemshinda ndio itakuja kua hili..sio yeye tu bali Mkuu wa Polisi, Waziri Mkuu na Rais wote hawa wameshindwa kazi zao na cha ajabu wako kimya kama vile hakuna kilichotokea..Tungeomba serikali ya marekani iwa ban hawa viongozi kwenda america kuomba misaada wakati wanawakandamiza wananchi wao.
 
Hivi jamani, Kamuhanda si ndiye huyuhuyu alifanya mauaji kule Songea ya wananchi wasio na hatia? Amehamishiwa Mkoa wa Iringa (songea ni wilaya hivyo ina maana baada ya mauaji yale alipandis hwa cheo). Wakati umefika kwa Watanzania wapendao amani KUANDAMANA NCHI NZIMA KUPINGA VITENDO VYA KINYAMA VINAVYOFANYWA NA JESHI LAO LA POLISI na KUSHINIKIZA MWEMA NA NCHIMBI WAJIUZULU. Tukifanya hivyo, tutakuwa na ushahidi madhubuti THE HAGUE
 
Emmanuel Nchimbi mpaka sasa hujaona sababu ya kujiuzulu? Je unafurahia mauaji haya?

Mbaya zaidi unakuja na matamko yenye utata kuhusu haya mauaji. Hivi ni lini viongozi wa nchi hii mtaacha kuwa wanafiki na msiopenda kuwajibika. Na mbona matukio ya wananchi kuuawa na polisi yameongeza sana baada ya wewe kupewa hii wizara? Kwa nini tusiamini kwamba ulipewa hii wizara kwa kazi ya kuua watanzania? kwa nini tusiamini kwamba wewe ndio unatoa maagizo ya mauaji haya.

Nasikikia una mpango wa kugombea urais 2015, hivi ukipewa madaraka si ndio utachinja watu hadharani. Hii haikubaliki, Nchimbi lazima uondoke!!!!
Labda atatangaza kujiuzulu leo maana nasikia ameitisha mkutano na waandishi wa habari mchana huu
 
watanzania tukiamka watatafuta pa kukimbilia wasipaone
huyu bwana ni mmojawapo wa waliofoji vyeti kujiita docta wakati hakuwa na phd
 
Mhe Nchimbi ili ujijengee heshima JIUZURU MARA MOJA usingoje shinikizo! Vinginevyo tutaamini kuwa hizi amri zinazodaiwa na polisi kutoka juu UNAZITOA WEWE!
 
Back
Top Bottom