Hii picha hai'justify umasikini hata kidogo!Katika jiji la Chennai, nilikuta hii katikati ya jiji.Mgambo hawathubutu kuwaondoa hawa jamaa.View attachment 36073
Bwana mukubwa sijustify umasikini wetu, lskini masikini kama sisi wanaendelea tena vibaya sana.Hii picha hai'justify umasikini hata kidogo!
Hicho kibanda ni cha aina ya kupumzikia, na ni cha kiasili fulani!
Huoni context ya eneo lenyewe?...kUNA MAGOROFA hapo, na inaonyesha ni downtown fulani!
Useme shida ya hapo ni makaratasi na uchafu mwingine kuzagaa!
nchi yetu sio maskini bali utawala wetu ndio mbovu wa kimasikini hivyo kutujengea fikra za kimaskini
Kama masikini wako uwasingizie wengine ndio wamekujengea, pole sana! aliyewatia umaskini wa fikra Watanzania alisha kufa zamani sana. Kama mpaka leo bado fikra zako ni za kimaskini basi hautoamka tena. Hivi unangoja Serikali ije kukupa fedha utajirike? Unanchekesha!
Fanya kazi kwa bidii, hutofanikiwa kwa kupiga firimbi JF. Utawaona tu wenzako wakipaa wewe baki kulalama hapa!
Faiza naona umerudi kiaina. Habari za kule Jamii nyingine?
hapa nakupa siku mbili tu ( ban)Nimerudi baada ya ban kwa kusema kweli kuhusu magwanda. Kule poa tu, si unapaona? unapaogopa?