idumu
Member
- Jun 5, 2009
- 44
- 1
Habari wana JF, Hivi sisi kama watz tunatafakari vipi kuhusu kujaa kwa wachina nchini, wakenya. Hivi wewe MTZ waweza kwenda china kirahi tu na ukaishi. Hili suala hata kama ni uwekezaji, MCHINA ANAUZA MTUMBA. Hawa jamaa wakizaana hapa bongo tutakoma. Kuwaondoa itakuwa taabu, Pembe za ndovu zinapotea, Kama Jana uliona ITV pembe za ndovu zinaibiwa hiv hiv?/ Hongera kwa POLISI kuwakamata. Je wewe kama Kiongozi wa UHAMIAJI na USALAMA WA TAIFA MNAFANYA NINI ILI TUIKOE HII NCHI YETU JAMANI.
Bless, Maoni yangu
Bless, Maoni yangu