Nchi ya Zanzibar kufutika kwenye uso wa Dunia

Andindile

JF-Expert Member
Mar 18, 2009
304
16
Nchi ya Zanzibar huenda ikafutika kwenye uso wa Dunia kama nchi iliyoungana na Tanganyika na kubaki kama mikoa ya Tanzania. Hii ni kwa sababu jina linalotakiwa kuzitambulisha nchi mbili zilizoungana (Tanganyika na Zanzibar) yaani Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) au United Republic of Tanzania (URT) limeanza kutotumika katika sehemu muhimu za utambulisho wa nchi hasa yanayohusiana na muungano. Mfano kwenye sarafu, linatumika "shilingi ya Tanzania" badala ya "shilingi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" au "Tanzanian Sh". badala ya "United Republic of Tanzania Sh." (URT. sh.), kama ilivyo kwa "United States dollar" (US $), "United Kingdom Pound" (UK pound). Pia jina la ramani, huitwa Ramani ya Tanzania badala ya "Ramani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". Timu ya Taifa huitwa "timu ya taifa la Tanzania" badala ya "Timu ya Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". Na sehemu nyingine nyingi ambako jina la URT lingetumika badala yake Tanzania ndilo hutumika.

Wazanzibari amkeni mhakikishe utambulisho unaotumika ni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) au United Republic of Tanzania mahali popote pale ambapo maslahi ya nchi mbili huru zilizoungana yanawakilishwa la sivyo you will be forgotten forever!
 
Nchi ya Zanzibar huenda ikafutika kwenye uso wa Dunia kama nchi iliyoungana na Tanganyika na kubaki kama mikoa ya Tanzania. Hii ni kwa sababu jina linalotakiwa kuzitambulisha nchi mbili zilizoungana (Tanganyika na Zanzibar) yaani Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) au United Republic of Tanzania (URT) limeanza kutotumika katika sehemu muhimu za utambulisho wa nchi hasa yanayohusiana na muungano. Mfano kwenye sarafu, linatumika "shilingi ya Tanzania" badala ya "shilingi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" au "Tanzanian Sh". badala ya "United Republic of Tanzania Sh." (URT. sh.), kama ilivyo kwa "United States dollar" (US $), "United Kingdom Pound" (UK pound). Pia jina la ramani, huitwa Ramani ya Tanzania badala ya "Ramani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". Timu ya Taifa huitwa "timu ya taifa la Tanzania" badala ya "Timu ya Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". Na sehemu nyingine nyingi ambako jina la URT lingetumika badala yake Tanzania ndilo hutumika.

Wazanzibari amkeni mhakikishe utambulisho unaotumika ni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) au United Republic of Tanzania mahali popote pale ambapo maslahi ya nchi mbili huru zilizoungana yanawakilishwa la sivyo you will be forgotten forever!

Hivi kabla ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kulikuwapo na jina Tanzania? Tanzania limietokana na nini? Kama ukitamka Tanzania manake umetamka Tanganyika na Zanzibar, sasa hiyo muuungano unayotaka itamkwe kila mahali ni kwajili y nini? Wewe mwenzetu unaishi dunia gani, usiyelijua hili? By the way malalamiko haya yalikuwa yaanzishwe na watu wa Tanzania bara ambao jina lao la Tanganyika lilipotea kabisa, huku watanzania visiwani wakibaki na jina lao la Zanzibar. Hivi muungano ukivunjika, bara kutaitwa nini? Nisingeshangaa kama hoja hii ingeletwa na mtu wa bara, on my suprise watu wa Zanzibar ndo mnakuja nayo hii. Wewe bwana ni mchokozi.
 
global warming is gonna help us settle this issue, its just a matter of time!
 
Nchi ya Zanzibar huenda ikafutika kwenye uso wa Dunia kama nchi iliyoungana na Tanganyika na kubaki kama mikoa ya Tanzania. Hii ni kwa sababu jina linalotakiwa kuzitambulisha nchi mbili zilizoungana (Tanganyika na Zanzibar) yaani Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) au United Republic of Tanzania (URT) limeanza kutotumika katika sehemu muhimu za utambulisho wa nchi hasa yanayohusiana na muungano. Mfano kwenye sarafu, linatumika "shilingi ya Tanzania" badala ya "shilingi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" au "Tanzanian Sh". badala ya "United Republic of Tanzania Sh." (URT. sh.), kama ilivyo kwa "United States dollar" (US $), "United Kingdom Pound" (UK pound). Pia jina la ramani, huitwa Ramani ya Tanzania badala ya "Ramani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". Timu ya Taifa huitwa "timu ya taifa la Tanzania" badala ya "Timu ya Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". Na sehemu nyingine nyingi ambako jina la URT lingetumika badala yake Tanzania ndilo hutumika.

Wazanzibari amkeni mhakikishe utambulisho unaotumika ni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) au United Republic of Tanzania mahali popote pale ambapo maslahi ya nchi mbili huru zilizoungana yanawakilishwa la sivyo you will be forgotten forever!
Jina lililochaguliwa kuwakilisha nchi mbili hizi baada ya kuungana ni Tanzania na wala si vinginevyo. Mbona unapenda u-mimi?
 
Highfallutin' hyperbolics of hued hogwash and hyped hot hullaballoo hijacking the hall like hyponychon.
 
Highfallutin' hyperbolics of hued hogwash and hyped hot hullaballoo hijacking the hall like hyponychon.

duh! hapa hata OBAMA mwenyewe inabidi akatafute dikshineri hehehe haki ya nani nimeelewaga hizo buluu tu.
 
hivi Tanganyika isinge ungana na Znz mpaka leo hii ingeendelea kuitwa Tanganyika?
 
Hivi wewe uliyeleta hii posti ni nani Mtanzani, Mzanzibari, au Mzanzibara? nataka kujua tu.
 
Back
Top Bottom