Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Norway ilihusika sana na kuleta maridhiano Mashariki ya Kati kati ya Waisraeli na Wapalestina mpaka yakapatikana maridhiano (Oslo Agreement) mwaka 1993, na ilionekana kwamba nchi hiyo ya Skandinavia ni nchi isiyoegemea upande wowote (neutral). Lakini sasa hivi mambo yamegeuka. Osama bin Laden ameanza kuleta makeke huko, nchi hiyo, kama zilivyo nchi nyingi za Ulaya kwa sasa, sio salama tena kwa upande wa ugaidi wa kiislamu!
Source: BBC na Al Jazeera.
Source: BBC na Al Jazeera.