ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Wote mliotukana humu badala ya kuchangia mada ni wapumbafu kama mkolosai.
na wewe ukiwemo sababu tayari ulishahesabiwa..
Wote mliotukana humu badala ya kuchangia mada ni wapumbafu kama mkolosai.
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.
Wote mliotukana humu badala ya kuchangia mada ni wapumbafu kama mkolosai.
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumiwa kuiharibu katiba na kuleta machafuko.
daaahh, huyu mkolosai nyani kweli, kasababisha mada haijachangiwa, tum-cuf kwenye chama chetu, hana haja ya kujitetea
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumia kuiharibu katibat na kuleta machafuko.
kati ya hao marais 5 wanne wanatoka visiwani.
duh kuna watu wanakurupuka, pengine kabanwa na haja kubwa.
Wewe mpumbavu kweli, hivi unataka rais adumu miaka 50 ndo uone kuwa tunaendelea? Watu wanapigania muhula uwe mmoja tu wewe unataka kutuletea upupu wako humu. Nyie ndo vibaraka mnaotaka kutumiwa kuiharibu katiba na kuleta machafuko.
Samahani ndugu mtoa hoja,hv umetumia kigezo gani kuwajumuisha ma-makamu wa rais katika urais?kimajukumu je ni kweli wanafanana?makamu wa rais so far naona kazi yake ni kutembea na mkasi wa kukatia utepe katika ufunguzi wa shughuli flani au majengo mbalimbali.Pia kama umewajumuisha basi sema ma-rais sita (6) muweke na Pinda maana makamu wa pili wa serikali ya mapinduzi ndiye waziri kiongozi au kwa serikali ya muungano ndiyo waziri mkuu.Hivyo sema sasa marais sita siyo wa 5.Kuna point ulitaka kuisema lakini hebu jipange upya utuletee hoja iliyokwenda shule zaidi!!Hivi ndugu zangu kuwa na marais watano katika nchi maskini kama Tanzania ni kuongeza utawala bora ua ni kujiongezea umasikini. Zanzibar kuna marais 3 na muungano 2 je huu si mzigo kwetu. Katiba mpya itupe suluhu ktk hili.