Nchi ipi ilimpongeza Kikwete kwa ushindi!

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,702
Toka uchaguzi umepita na "rais" kupatikana, sijasikia salamu za pongezi kutoka kwa nchi rafiki kama ilivyozoeleka toka zamani, au vyombo vya habari Havitangazi
 
Alipongezwa na nchi ya Visiwa vya Commoro tu maana alisaidia kumweka madarakani rais wake alipokuwa kwenye hatari ya kupinduliwa
 
bila kusahau zimbabwe, maana hao wote ndio walewale wazee wakutumia mabavu yao
 
mimi sina uhakika na hilo, ila kama hazikumiminika kweli, then naamini usemi usemao MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA!!!!!!!!!!!!!!

WAMEONA UCHAKACHUAJI!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Duh, tena ni kweli bwana. Unatukumbusha mbali sana enzi za mzee wetu Mkapa
Hata huyu wa sasa wakati wa awamu ya kwanza zilimiminika na taarifa zilikuwa zinatolewa!
 
Hakushinda ndio maana hakupongezwa....hata wale wanao desa mitihani huwa hawa jisikii kupongezwa hata wapate 100%
 
Toka uchaguzi umepita na "rais" kupatikana, sijasikia salamu za pongezi kutoka kwa nchi rafiki kama ilivyozoeleka toka zamani, au vyombo vya habari Havitangazi

alishindwa ndo maana hawakutaka hata kumpongeza
 
Mnamwonea jk wa watu mbona alipongezwa na nchi nyingi sana!! Ninazokumbuka kwa uchache ni Afghanistan, pakistan, iran, jordan, oman, misri, ivory coast, libya, moroco, tunisia, djibuti, somalia, mali, comoro, madagasca, zimbabwe, saudi arabia, kuwait, uturuki, palestine, uzebekstan, n.k. Jk anafahamika bwana siyo utani!!!
 
Back
Top Bottom