Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wadau Gavana wetu nchi inazama na inflation yeye na JK wanapanda mapipa. Wana JF kuna nani hapo uwanjani aweze kutupa nyeti juu ya huyu jamaa anaenda kutumia wapi mapesa yetu ? Msaada wenu najua JF imetapakaa kila kona basi tujue akirudi shilingi yetu itakuwa juu au ni siasa tu ?