Suleiman mathias
Member
- Apr 3, 2012
- 28
- 7
Tulianza na watu kutekwa,vyombo vya habari vinavyotetea wananchi kunyanyaswa vikifungiwa,wananchi kuuawa kimnyama na then Malawi kuivimbia serikali yetu,yote hayo ni matukio ambayo serikali haikushtuka na sasa ni vikundi vya kihuni kuchoma nyumba za ibada lakini serikali yetu bado iko likizo na haijashtuka kuona hali si shwari bali wanaendelea kuwa mapumzikoni tu nchi za wenzetu