Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Wadau,
Wahenga hawakukosea waliposema utatambua matendo na moyo wa mtu kwa kauli zake, na mtoto wa nyoka ni nyoka. Kwa nasaha hizo za wahenga tunangalie kauli mbili tu za Ridhiwani Kikwete.
Kauli ya kwanza; ..Ndivyo nilivyolelewa na wazazi kuhusu namna ya kuishi".
Kauli ya pili ; "..mjini tunaishi kimjini si kila kitu unachomuona nacho mtu ni chake.."
Nijuavyo mimi;
Kuishi kimjini mjini ni kuishi kwa ujanja ujanja (yawezekana kwa shughuli halali au halamu), kuishi kwa kupeana kazi/dili/michongo kwa kujuana bila kujali ufanisi (hii ni mbaya inapoingizwa kwenye sekta za serikali/chama), na mambo yanayoenda na hayo.
Tafsiri ya nukuu;
Kama Baba kamlea mwana kuishi kimjini mjini hivi, Bila shaka Baba naye anaishi kimjini mjini vivyo hivyo.(maana kama mtoto wa nyoka ni nyoka,hata mzazi wa nyoka ni nyoka)
Rais anapoisha kimjini mjini;
1. Nchi inaongozwa kimjini mjini,
2. Uteuzi wa mawaziri,wakurugenzi,maRC,majaji,MaDC,wabunge na viongozi engine nao hufanywa kimjini mjini bila kuangalia sifa.
3. Mikataba ya kinyonyaji isiyojali maslahi ya Taifa inafanywa kimjini mjini
4. Mambo muhimu kwa Taifa mfano ishu ya katiba mpya yanafanywa kimjini mjini bila kujali mahitaji ya wananchi. Ushahidi ni Huu muswada wa katiba ulivyoandaliwa kimjini mjini ukizuisha masuala muhimi yasijadiliwe.
5. n.k n.k..(wadau mnaweza kuongezea 5,6,7...).
BINAFSI NAWEZA KUSEMA AHSANTE RIZ1 KWA KUTUFANYA TUMJUE ZAIDI JK NA KWA UNDANI NA ANAYOFANYA KIMJINI MJINI.
Wahenga hawakukosea waliposema utatambua matendo na moyo wa mtu kwa kauli zake, na mtoto wa nyoka ni nyoka. Kwa nasaha hizo za wahenga tunangalie kauli mbili tu za Ridhiwani Kikwete.
Kauli ya kwanza; ..Ndivyo nilivyolelewa na wazazi kuhusu namna ya kuishi".
Kauli ya pili ; "..mjini tunaishi kimjini si kila kitu unachomuona nacho mtu ni chake.."
Nijuavyo mimi;
Kuishi kimjini mjini ni kuishi kwa ujanja ujanja (yawezekana kwa shughuli halali au halamu), kuishi kwa kupeana kazi/dili/michongo kwa kujuana bila kujali ufanisi (hii ni mbaya inapoingizwa kwenye sekta za serikali/chama), na mambo yanayoenda na hayo.
Tafsiri ya nukuu;
Kama Baba kamlea mwana kuishi kimjini mjini hivi, Bila shaka Baba naye anaishi kimjini mjini vivyo hivyo.(maana kama mtoto wa nyoka ni nyoka,hata mzazi wa nyoka ni nyoka)
Rais anapoisha kimjini mjini;
1. Nchi inaongozwa kimjini mjini,
2. Uteuzi wa mawaziri,wakurugenzi,maRC,majaji,MaDC,wabunge na viongozi engine nao hufanywa kimjini mjini bila kuangalia sifa.
3. Mikataba ya kinyonyaji isiyojali maslahi ya Taifa inafanywa kimjini mjini
4. Mambo muhimu kwa Taifa mfano ishu ya katiba mpya yanafanywa kimjini mjini bila kujali mahitaji ya wananchi. Ushahidi ni Huu muswada wa katiba ulivyoandaliwa kimjini mjini ukizuisha masuala muhimi yasijadiliwe.
5. n.k n.k..(wadau mnaweza kuongezea 5,6,7...).
BINAFSI NAWEZA KUSEMA AHSANTE RIZ1 KWA KUTUFANYA TUMJUE ZAIDI JK NA KWA UNDANI NA ANAYOFANYA KIMJINI MJINI.