ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
Je ni kweli kuwa serikali ililipa wafanyakazi mwezi wa 12 pesa kutoka Mohamed enterprise?na eti rais mstaafu wa africa kusini mpaka leo anashangaa sana mjengo wa rais mstaafu wa bongo uliojengwa nchini humo? na wakurugenzi wa halmashauri ni wezi saaaana na CCM IKIONDOKA madarakani 2015 viongozi wengi wakiongozwa na rizmoko watahamia Dubai?source mtabiri