Kwanini hii nchi inaendeshwa na matukio kiasi hiki? hivi tatizo hasa hapa ni nini? kwani tu wepesi sana kusahau na kuingia mkenga kusko yaani siasa ni kila kona na kila mtu amefuzu mbwembwe kwa sasa? kunani hasa? Hata dawa ya Mchg. Mwasapile watu wanaleta propaganda jamani jamani? tutafika kweli?