Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Ndugu zanguni kuna mambo mengi kuhusu uwekezaji katika nchi hii yananitatiza sana an kunikatisha tamaa kabisa .Hapo nyuma nilikuwa nasikia tu stories kuwa wawekezaji (hasa wale ukweli) wengi wao wanakuwa very dissapointed na utaratibu uliopo hapa nchini......siyo rahisi kabisa kwa mtu aweze kuwekeza hapa.,mara nyingi mwisho wanaamua kuondoka....sasa nimeyashuhudia mwenyewe....Kuna jamaa zangu ambao wapo very serious wamekuja kuwekeza hapa nchini.....lakini nimezunguka nao sehemu zote husika bila ya mafanikio...ni kwamba hakuna mtu wa kutoa maamuzi yeyote huko serikalini....kwa mfano hawa jamaa zangu walikuwa interested na kutoa msaada (siyo mkopo) wa kujenga soko la kisasa la samaki pale bagamoyo...jamaa wame spend two months bila responses yeyote toka wizara husika...na wala TIC (extremely hopeless) hawaonekani kustuka ingawa information zote wanazo.....ishu nyingine iliyoshindikana ni nyanja ya kilimo cha kisasa....jamaa walijipanga kuja kutoa misaada mikuwa sana ya pembejeo za kilimo ili kusaidia hasa wakulima wadogowadogo...lakini Tumekwama kabisa siyo wizara husika wala TIC ambao wameweza kutusaidia...sasa mimi najiuliza hawa viongozi wetu wakuu wanavyopiga kelele juu ya kuwahimiza wawekezaji kuja hapa ina maana haya hawayajui?????...kuna kitu hapa sielewi kabisa..inanitia uchungu sababu nimejaribu kuwabembeleza wavute subira lakini nimechemsha ...kweli nchi yetu ni ya kipumbavu namna hii????!!!!!SASA TUNAFANYAJE since things are not moving at all????