white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,313
- 13,277
msemaji wa ikulu,ktk kipindi cha jahazi,amesema nchi iko shwari kabisa,na imani ya wananchi kwa rais wao inazidi kukua kila cku!!tatizo la mfumuko wa bei sio tatizo la serikali ni tatizo la dunia nzima!na wale wanaopiga kelele kila siku juu ya mabdadiliko ya baraza la mawaziri sio kazi yao,na pindi rais atakapoona inafaa kufanya hivyo atafanya hivyo.Na magazeti yaache kutabili mambo kwani hata kwenye makubaliano yaliofikiwa kwenye mgogoro wa madaktari,ni baina ya serikali na ma dr,wala sio na magazeti.Na maisha ya mtanzania yanaboreka kila uchao!!kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa jamani.