Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Kama hujui inaongozwa na nani waambie Wamalawi wachukue ziwa lote.
Uraisi ni taasisi sio mtu mmoja kama baba katika familia. Nchi sio familia.
Kuna Usalama wa Taifa, Kuna jaji mkuu, Kuna JWTZ.
Enyi watanzania msiwe na wasiwasi nchi yenu iko salama na viongozi wenu wako salama.
Uraisi ni taasisi sio mtu mmoja kama baba katika familia. Nchi sio familia.
Kuna Usalama wa Taifa, Kuna jaji mkuu, Kuna JWTZ.
Enyi watanzania msiwe na wasiwasi nchi yenu iko salama na viongozi wenu wako salama.