Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?
mzee wa uzinduzi!m.k.we.re anafanyaga maamuzi yote hata akiwa nje,..bilal kazi yake ni kutembea na mkasi na kunyoa tepe
Dr Slaa, anashikilia ni rais kivuli.
Mambo!
JK yuko nje, Pinda yuko nje, Bilal naye yuko nje.
Hata baadhi ya mawaziri wako nje ya nchi, swali langu nani anaishikilia Tanzania kwa sasa?