Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Raskazone Tanga mkuu tulikwepa viti gizani sintosahau hiyo ilikuwa kazi ya Marando, leo Kafulila na Zitto wamechelewa kuwaita polisi maana ndio mbinu waliyokuwa wanatumia CCM kuvuruga mikutano ili vikao vishindwe kufikia maamuzi, walitufanya hivyo hivyo pale Manzese wakati TLP iko pale kwenye gorofa la Ngawaiya tulipoanza mkutano tu tukarushiwa mabomu ya machozi ukumbini.vipi kipindi hiki hawakurushiana viti kama ilivyotokea enzi za Mrema na Marando ukumbi wa ......................... nimeusahau!!!