TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
najaribu kujikumbusha ile picha kupitia tbc kipindi kile kafulila anawashambulia chadema bungeni eti ,nanukuu eti kama wameshindwa kuungana na sisi eti watawezaje kushiriiana na watz kuuleta maendeleo eti cdm ni wabinafsi wakati anajuwa mkiti wake ni mccm halafu hata kanuni za bunge zinawaruhusu cdm kuwa kambi rasmi ya oppose eee bwana kutenda thambi kubaya