Kidudu Mtu
Member
- Nov 7, 2009
- 64
- 0
Je, ni muhimu kuwa na tume huru ya uchaguzi?
Jadili ukitoa sababu kwa nini unadhani tume ya uchaguzi iliyopo haifai.
Jadili ukitoa sababu kwa nini unadhani tume ya uchaguzi iliyopo haifai.
We kweli kidudu mtu,kitu gani umeuliza hapa?jibu unalo hapo hapo lakini tena unauliza...Twende step by step uone,mosi umeuliza;je ni muhimu kuwa na tume "huru" ya uchuguzi?halafu hapo hapo unataka tujadili kwanini tume "huru" haifai?Je, ni muhimu kuwa na tume huru ya uchaguzi?
Jadili ukitoa sababu kwa nini unadhani tume ya uchaguzi iliyopo haifai.
Unataka iwekwe na chama gani?Tume iliyopo imewekwa na Chama Cha Majambazi.
Unataka iwekwe na chama gani?
Mwenyekiti wake huwa anateuliwa na raisi! Je tulishakuwa na raisi zaidi ya wale wanaotoka CCM?
Ndio maana huwa nashangazwa sana,kama watu wanajuwa kuwa tume si huru na ni ya chama cha majambazi,then kwanini wanashiriki uchaguzi na kutegemea matokeo ya haki yatatangazwa?Ama ni ruzuku tu ndo cha muhimu kwa hivyo vyama?haya mambo ya upinzani kwa style hii ni upotevu wa muda na rasilimali za wananchi.System yote ni upuuzi mtupu,ni kama michezo ya kuigiza.