Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mie bora nicheke heheeee kwani sasa hivi hawezi kwenda mbona Nape alipendekeza wapinzani wote wakamuone mkuu?
Hivi CC ya NCCR ilikaa lini ikatoa tamko la kutoridhia rasimu ya mapendekezo ya katiba yaliyopitishwa kwa vishindo na wabunge wa ccm na wake zao cuf?Milango haijafungwa, si vizuri kulalama, aombe kikao au akumbushie labda atapewa nafasi ya kuwasilisha hoja zake. Sasa sijui kutakuwa na makubaliano mapya zaidi ya yale ya jana ?
Hivi CC ya NCCR ilikaa lini ikatoa tamko la kutoridhia rasimu ya mapendekezo ya katiba yaliyopitishwa kwa vishindo na wabunge wa ccm na wake zao cuf?
au ndio ile stahili kila mtu anabwabwaja kivyakevyake? halijulikani tamko la chama ni lipi?
ni kweli mbatia yuleyule aliyeshindwa ubunge na mdada........................
mbaya zaidi anataka kwenda mwenyewe..
Nlisema jana Mh. Rais hakuwa na sababu zozote za msingi za kukutana na Chademu..sasa a can of worms imeshafunguliwa..kila mtu atakuja na ku-demand na yeye asikizwe na Mh. Rais. Nafikiri suala la katiba liachwe kama alivyopendekeza rais, watu wapeleke maoni yao kwa tume na bunge la katiba litaja yachambua..si rahisi kumridhisha kila mtu. Ni lazma tukuliane ktkk mambo ya msingi, lakini si lazma tukubaliane ktk YOTE. Wao Chademu / NCCR/CUF kaa wanaona wao ndo wanawakilisha maoni ya walio wengi basi wasubiri kushinda 2015 halafu waweke wao hiyo katiba wanayotaka wao. Wasitupotezee muda na nishati.
Mkuu Douglas, kwani huyu ni bwabwa? Alli yupi mkuu au yule mkuu wa kaya zenji nini?Huyu mdada Mbatia mbona ana matatizo sana? Alli kampiga chini nini?
wingi wa mashabiki wa chama fulani humu unaleta shida, jadilini hoja alizotoa, mnashupalia tu mtu ati kwa sababu hayumo kwenye chama chenu
Nlisema jana Mh. Rais hakuwa na sababu zozote za msingi za kukutana na Chademu..sasa a can of worms imeshafunguliwa..kila mtu atakuja na ku-demand na yeye asikizwe na Mh. Rais. Nafikiri suala la katiba liachwe kama alivyopendekeza rais, watu wapeleke maoni yao kwa tume na bunge la katiba litaja yachambua..si rahisi kumridhisha kila mtu. Ni lazma tukuliane ktkk mambo ya msingi, lakini si lazma tukubaliane ktk YOTE. Wao Chademu / NCCR/CUF kaa wanaona wao ndo wanawakilisha maoni ya walio wengi basi wasubiri kushinda 2015 halafu waweke wao hiyo katiba wanayotaka wao. Wasitupotezee muda na nishati.
Mkuu Douglas, kwani huyu ni bwabwa? Alli yupi mkuu au yule mkuu wa kaya zenji nini?
kweli mbatia left hand, analalamika nn? Kwan CDM waliitwa au waliomba kukutana rais ingekuwa na wao wameomba then wakanymwa hyo nafac hapo sasa wangelalamika.
Huyu Mbatia anayumbisha NCCR sasa, Juzi alitoa kauli kuwa hatashirikiana na serikali ya CCM katika mchakato wa katiba kwani hawana nia, leo anakuja na kauli ya kusema amepuuzwa kwani yeye ndiyo wa kwanza kupeleka documents na hivyo alikuwa anasubiri kuitwa. Hivi kwa mtu mwenye busara kwenye hii ni kauli ya kuitia press conference?. Jiandaeni ombani nafasi mtapewa, kama wenzenu. Ningekuwa mimi ndiyo Mbatia ningeunanisha nguvu na CDM maana 'HAMNA HAMNA NDIMO MLIMWAMO'. CDM ina support ya Umma unapopingana nayo unajiongezea distance na umma.