Baada ya makubaliano waliyokubaliana nccr na chadema kuwaomba waondoe kesi ya jimbo la kawe na kukubaliana kuwa watawashirikisha katika baraza kivuli la upinzani sasa NCCR wameachwa solemba ya masiku ya hivi karibuni kiongozi wa kambi ya upinzani kufanya mabadiliko lakini hakuwashirikisha wabunge wa NCCR.
Je, kitendo hicho kinachukuliwa kuwa ni ubinafsi wa chadema, kwa kuwa wachaga wanagwa vita kwa ubinafsi je chama hicho nacho kinalikumbatia hilo?
Je, kitendo hicho kinachukuliwa kuwa ni ubinafsi wa chadema, kwa kuwa wachaga wanagwa vita kwa ubinafsi je chama hicho nacho kinalikumbatia hilo?