Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
:lol:Kunaanza kupambazuka, tukifunguka macho namna hii democrasia ya kweli itakua ktk nchi hii. Kama viongozi wanavifanya vyama ni mali yao, kwa utaratibu huu wataelewa kuwa ni mali ya WANACHAMA. Na wanachama wanaoona wanapelekwa kusiko wataamua kutafuta vyama vitakavyowapeleka njia ya kweli hadi kieleweke :lol:.