johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Baadhi ya wanachama wa chama ca NCCR mageuzi wameanza kujiondoa katika chama hicho wakipinga kitendo cha hivi karibuni cha halmashauri kuu ya chama NCCR mageuzi kuwafukuza uanachama na kuwavua nafasi za uongozi wanachama wake kadhaa
Tukio la hivi karibuni limeshuhudiwa katika kata ya Nyamiaga wilayani Ngara ambako viongozi wa tawi jana wameteresha bendera ya chama hicho na kutangaza kujiunga na chama cha demokrasi ya maendeleo
Mwenyekiti wao bw Patrick Geofrey amesema wanapinga hatua ya kufukuzwa uanachama kwa Bw David kafulila na wenzake watatu pamoja na kuwaondoa kwneye uongozi wanachama kadhaa ikiwa ni pamoja na james bazisa aliyekuwa mjumbe wa halmashauri kuuu ambaye pia ni mkazi wa wilaya ya Ngara
Wamesema NCCR mageuzi imeonyesha kukosa mwelekeo kwa kutoa maamuzi ya kukomoa wanachama wenye mtazamo tofauti na viongozi
Tukio la hivi karibuni limeshuhudiwa katika kata ya Nyamiaga wilayani Ngara ambako viongozi wa tawi jana wameteresha bendera ya chama hicho na kutangaza kujiunga na chama cha demokrasi ya maendeleo
Mwenyekiti wao bw Patrick Geofrey amesema wanapinga hatua ya kufukuzwa uanachama kwa Bw David kafulila na wenzake watatu pamoja na kuwaondoa kwneye uongozi wanachama kadhaa ikiwa ni pamoja na james bazisa aliyekuwa mjumbe wa halmashauri kuuu ambaye pia ni mkazi wa wilaya ya Ngara
Wamesema NCCR mageuzi imeonyesha kukosa mwelekeo kwa kutoa maamuzi ya kukomoa wanachama wenye mtazamo tofauti na viongozi