NCCR nao wakataa posho za vikao Bungeni

Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri

hiv ni kwanini usijishangae wewe unaitetea hiyo sh 70,000 ya posho? Ni kweli ni kiasi kidogo lkn kwann nyie magamba hamtaki kukiachia pamoja na udogo wake?
 
Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Zitto hana sababu ya kutafuta umaarufu maana tayari ni maarufu kwa utetezi wa wanyonge.Na magamba ni maarufu kwa kuibia raslimali za taifa hili!Halafu we huwezi kumshauri Zitto maana pumba tupu no logic kwa unachokisema!tunataka magamba nao wakatae zile milioni 90,ili tuone kama wana uchungu na nchi kweli!
 
Hapa naona tunaelekea pazuri maana ukifuta ma-ruzuku ruzuku, ma-posho posho na marupurupu mengine baadhi ya wabunge hizi ndo dili zao hivyo wataachana na mambo ya kukimbilia ubunge. Itabakia wale wenye nia tu ya kuwakilisha wananchi. Tutegemee viti vya bunge kuendelea kuwa wazi siku za usoni.
 
Well done upinzani!..nchi hii ni yenu 2015 kama mtashikamana na kuungana mkono namna hiyo.
 
Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Tatizo lako umetumwa kutetea hoja. Lakini untetea bila kusoma. Hata hizo 70,000/= bado Ni nyingi sisi tunajadili namna vyanzo vya kupunguza umasikini, mojawapo Ni kupunguza maposho. Wabunge wengi wa CCM ni wakomavu hadi wamegeuka wamekuwa MAGAMBA. Ahaaaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom