George Kahangwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2007
- 547
- 147
- Thread starter
- #21
Mimi ninaposikia au soma NCCR - Mageuzi napata kichefuchefu mpaka nakosa akili, chama hiki nilikipigia kura mwaka 1995, sikujua ubaya wake masikini, ingekuwa bora kife kabisa sasa.
Kimsingi, natamani Tanzania tuwe na Chama kimoja cha upinzani chenye nguvu. Sasa hawa NCCR ni kama DP tu, kuvuruga upinzani. kife, kife kabisa, sitaki kukisikia.
Nzikuuuu!
Wadhani chama kimoja chenye nguvu kitapatikana kwa kuiombea NCCR mauti?