Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Ndugu yangu Mwamakula, mimi naungana mkono na kafulila. Sijui ni kwa nini Watanzania tunaishi kwa mazoea ya kuwaamini hata watu ambao tayari jana yake tu wametuumiza. Kwa kifupi Watanzania tu wavivu wa kufikiria hata nini tunahitaji. Pa1 na kelele zoote na mahubiri ya CHADEMA na wanaharakati, bado kuna watu hawaoni na hawana haja ya kutafakari tulipo, badala yake wanakuwa wa kwanza kusema CHADEMA na WANAHARAKATI wanataka kutuletea vurugu.
Uzembe wa kufikiri wa Watanzania, hautupi nafasi ya kukumbuka kuwa waha vigeugeu wanaojipa sasa kazi ya kuratibu mchakato, mwanzoni walipinga KABISAAAA wazo zima la kuwa na katiba mpya.
Lkn haya yote mimi nayaona 9, kumi ni hoja za upande wa pili uliodai hata kufurahishwa na hotuba ya Rais aliyowahutubia wacheza bao wa mwembe Yanga. Wao wanasema wamefurahishwa sana na hotuba nzuri (kwa namna hii hata KHANGA watainunua kwa maneno yake na sio ubora) na ahadi iliyotolewa na Rais (ambaye aliwahi kuwaahidi Waislamu mahakama ya Kadhi=nao wamesahau tayari) ya kwamba watu wote watafikiwa na kupata fursa ya kutoa maoni yao. Sasa hapa ndio utaona tu kuwa sio tuna uzembe tu, bali na utaahira juu yake: Hivi nia ni kila mmoja atoe maoni, au maoni ya kila mmoja yafanyiwe kazi?
Tatizo hapa ni ubongo wa Mtanzania unaopenda likizo kuliko kazi. CCM ina kawaida ya kukubali jambo kwa mdomo na kuhakikisha linaundiwa tume ya KULIKWAMISHA. Mambumbumbu wenzangu tunaotaka CHADEMA na WANAHARAKATI wakae kimya 'ili tutunze amani', tumeshajiuliza serikali ingepungua wapi kama muswada huu ungejadiliwa na wananchi kwanza?
Mwenye akili angalau kidogo angeona tu kuwa serikali yetu ni serikali ya ajabu kutokana na nafasi tunayoipa ya kujifanyia mambo kwa kadiri wanavyotaka.
Juzi hapa Kamanda wa CCM wa Kanda Maalum ya DSM CCP Sule Kova, ametoa karipio la kukataza Maandamano ya Amani ya KUPINGA MAMBO YA AJABU YALIYOFANYWA NA BUNGE LA NDOA kwa kisingizio cha Al Shabaab.
Hebu tujiulize,
1. Tutaahirisha sherehe za UHURU kwa sababu ya Al Shaabab?
2. Maandamano ya Mch. (sijui nani wa kilokole) kwa sababu ya Al Shaabab?
3.Tamasha la MP Sugu na masharobaro nalo litaahirishwa kwa sababu ya tishio la Al Shaabab?
Hapa utapata jibu tu kuwa CCM wanapinga katiba kabla hata haijatungwa. Kukataza maandamano ni kumnyima Mtanzania haki ya KIKATIBA. Sasa mnatoa wapi hii IMANI mbovu kuwa Rais na CCM na Jeshi lao wana nia ya kusimamia huu mchakato na kuufanikisha ikiwa mambo yao ndio haya?
Watanzania tuache kuwapigia makofi watu wanaotuvuruga huku tunawalaani wanaotutetea kwa kuwa tu tumeelekezwa hivyo na wanaojua namna watakavyonufaika na katiba MBOVU.
NOTE: Kwa maoni yangu, mtu yeyote ambaye mpk sasa haoni kuwa jeshi la polisi ni sehemu ya CCM basi hata kubakwa kwake ni rahisi. Mtu atakuvua nguo, atakupaka mafuta sehemu za siri na bado utaniambia hujui nia yake kwa hiyo unasubiri afanye hicho anachotaka kufanya ndio ugome. Kama kweli tuna tishio la Al Shaabab kama alivyotanabahisha kamanda wa CCM kanda maalum ya Dar es salaam, basi jambo la kulizuia sio maandamano ya Watanzania bali ushiriki wa timu za Kenya na Uganda ktk mashindano ya CHALLENGE kwani hao wawili ndio wanaweza kutuletea Al Shaabab hapa kwetu kwani tayari wana ugomvi nao huko kwao. Vinginevyo nitaendelea kuamini ninachoamini kuhusu jeshi letu la polisi.
kaah mpaka povu linakutoka dah pumzika umemaliza ? Sa angalia umepata nini?mafuta hayo tayari yamepakwa kwani mafutwa yanapopakwa mtu hutulia kwa ile raha tu kupakwa haijalishi mbele au nyuma ile raha ya mafuta aliyopakwa kwanini asisubiri warekebishee kwa ulaini inaingizwa na hakuna wakukurukwani kinaingia kinatoa raha