NCCR Mageuzi yakataa kushiriki mazungumzo

Ndugu yangu Mwamakula, mimi naungana mkono na kafulila. Sijui ni kwa nini Watanzania tunaishi kwa mazoea ya kuwaamini hata watu ambao tayari jana yake tu wametuumiza. Kwa kifupi Watanzania tu wavivu wa kufikiria hata nini tunahitaji. Pa1 na kelele zoote na mahubiri ya CHADEMA na wanaharakati, bado kuna watu hawaoni na hawana haja ya kutafakari tulipo, badala yake wanakuwa wa kwanza kusema CHADEMA na WANAHARAKATI wanataka kutuletea vurugu.

Uzembe wa kufikiri wa Watanzania, hautupi nafasi ya kukumbuka kuwa waha vigeugeu wanaojipa sasa kazi ya kuratibu mchakato, mwanzoni walipinga KABISAAAA wazo zima la kuwa na katiba mpya.

Lkn haya yote mimi nayaona 9, kumi ni hoja za upande wa pili uliodai hata kufurahishwa na hotuba ya Rais aliyowahutubia wacheza bao wa mwembe Yanga. Wao wanasema wamefurahishwa sana na hotuba nzuri (kwa namna hii hata KHANGA watainunua kwa maneno yake na sio ubora) na ahadi iliyotolewa na Rais (ambaye aliwahi kuwaahidi Waislamu mahakama ya Kadhi=nao wamesahau tayari) ya kwamba watu wote watafikiwa na kupata fursa ya kutoa maoni yao. Sasa hapa ndio utaona tu kuwa sio tuna uzembe tu, bali na utaahira juu yake: Hivi nia ni kila mmoja atoe maoni, au maoni ya kila mmoja yafanyiwe kazi?

Tatizo hapa ni ubongo wa Mtanzania unaopenda likizo kuliko kazi. CCM ina kawaida ya kukubali jambo kwa mdomo na kuhakikisha linaundiwa tume ya KULIKWAMISHA. Mambumbumbu wenzangu tunaotaka CHADEMA na WANAHARAKATI wakae kimya 'ili tutunze amani', tumeshajiuliza serikali ingepungua wapi kama muswada huu ungejadiliwa na wananchi kwanza?

Mwenye akili angalau kidogo angeona tu kuwa serikali yetu ni serikali ya ajabu kutokana na nafasi tunayoipa ya kujifanyia mambo kwa kadiri wanavyotaka.

Juzi hapa Kamanda wa CCM wa Kanda Maalum ya DSM CCP Sule Kova, ametoa karipio la kukataza Maandamano ya Amani ya KUPINGA MAMBO YA AJABU YALIYOFANYWA NA BUNGE LA NDOA kwa kisingizio cha Al Shabaab.
Hebu tujiulize,
1. Tutaahirisha sherehe za UHURU kwa sababu ya Al Shaabab?
2. Maandamano ya Mch. (sijui nani wa kilokole) kwa sababu ya Al Shaabab?
3.Tamasha la MP Sugu na masharobaro nalo litaahirishwa kwa sababu ya tishio la Al Shaabab?
Hapa utapata jibu tu kuwa CCM wanapinga katiba kabla hata haijatungwa. Kukataza maandamano ni kumnyima Mtanzania haki ya KIKATIBA. Sasa mnatoa wapi hii IMANI mbovu kuwa Rais na CCM na Jeshi lao wana nia ya kusimamia huu mchakato na kuufanikisha ikiwa mambo yao ndio haya?

Watanzania tuache kuwapigia makofi watu wanaotuvuruga huku tunawalaani wanaotutetea kwa kuwa tu tumeelekezwa hivyo na wanaojua namna watakavyonufaika na katiba MBOVU.

NOTE: Kwa maoni yangu, mtu yeyote ambaye mpk sasa haoni kuwa jeshi la polisi ni sehemu ya CCM basi hata kubakwa kwake ni rahisi. Mtu atakuvua nguo, atakupaka mafuta sehemu za siri na bado utaniambia hujui nia yake kwa hiyo unasubiri afanye hicho anachotaka kufanya ndio ugome. Kama kweli tuna tishio la Al Shaabab kama alivyotanabahisha kamanda wa CCM kanda maalum ya Dar es salaam, basi jambo la kulizuia sio maandamano ya Watanzania bali ushiriki wa timu za Kenya na Uganda ktk mashindano ya CHALLENGE kwani hao wawili ndio wanaweza kutuletea Al Shaabab hapa kwetu kwani tayari wana ugomvi nao huko kwao. Vinginevyo nitaendelea kuamini ninachoamini kuhusu jeshi letu la polisi.

kaah mpaka povu linakutoka dah pumzika umemaliza ? Sa angalia umepata nini?mafuta hayo tayari yamepakwa kwani mafutwa yanapopakwa mtu hutulia kwa ile raha tu kupakwa haijalishi mbele au nyuma ile raha ya mafuta aliyopakwa kwanini asisubiri warekebishee kwa ulaini inaingizwa na hakuna wakukurukwani kinaingia kinatoa raha
 
Imezoeleka kuwa Mwenyekiti wa CCM mara nyingi huwa anatia aibu katika matamshi na maamuzi yake lakini safari hii timu ya wajumbe wa NEC imeaibika kwa ujumla wake!
 
Una akili sana wewe jamaa!
thank you for this useful post.

Tatizo lipo. Pale CHADEMA hawaendi kuongea na Mwenyekiti wa CCM bali Rais.

Ingekuwa wanakwenda kuongea na CCM ingekuwa ruksa kwa CUF nao kushiriki kwani ukienda kwa mtu huwezi kumbagua 'mamsap wake'.
 
Kuweka uhai zaidi kwenye mfano wa kwanza wa Kafulila CCM walifanya jumla ya mikutano 1000 ya kampeni mwaka jana lakini hakuna hata mkutano wao mmoja ambao walisema swala la Katiba japokua CDM na CUF walikua wakinadi hili. CCM ni wizi mtupu
 
The scheduled talks between JK and Chadema will not bring any difference with regard to making of a new constitution. The fact that Chadema's MPs failed to use their parliamentarian platform to block the bill from being sanctioned is enough to explain on how less strategic they are. Chadema should regret their own puerility that drove them to boycott the debate while they could have used same existing constitution provisions to impede the smooth sanction of the bill by Magamba. As things turned out, CCM took an advantage of Chadema's absence plus their overwhelming majority to pass the bill unchallenged.

Kiingereza kikuuubwa halafu ndani honesty hakuna!Mielimu kibaoo lakini hata "like" hupati!Nguvu ya umma mtaipata tu kwani ujinga wa "maelimu" yenu hua tunataka!
 
Ukizama kwa undani utagundua Kafulila kiasi yuko sahihi
Huna haja ya kuzama ndani mbona hoja iko wazi tu NCCR hawawezi kudandia gari ambalo hawajui linaelekea wapi, Chadema wana ajenda zao ambazo zilijadiliwa na vikao sasa vyama vingine vitawasilisha hoja zipi ambazo hazitokani na vikao vyao. Kama siku hiyo kila mtu ataleta ajenda yake kwenye kikao mbona itakuwa vurugu mechi na kikao hakitakwisha.
 
Naona Kafulila anaongea kama mwanasiiasa makini katika jambo hili. Labda tu asichofikiri ni kuwa itakuwa conflict kubwa sana kumnyang'anya simba mguu wa swala na kuurudisha kwa wananchi wa kawaida ili wafaidi nchi yao. Hapo lazima kutayarisha mazingira. Move ya Chadema inatayarisha mazingira ili baadaye katika mapambano mtu asije wa label wapenda shari au watu wa fujo, Wataweza kujitetea njia zote za mazungumzo na amani zilishindikana.
 
Mbunge wa kigoma kusini na katibu mwenezi wa nccr mageuzi david kafulila amesema chama chao hakihitaji kukutana na Rais JK kwakuwa CCM, Serikali na hata Rais mwenyewe haina dhamira ya kweli ya kuleta katiba mpya.

Kafulila aliliambia tzdaima kuwa wameshangazwa na kauli ya ccm ya kutaka mazungumzo hayo yahusishe vyama vingine. Uamuzi wa kamati kuu ya ccm kuwa vyama vyote vikutane na JK. Sioni mantiki yake badala yake naona akutane na wanaotaka kukutana nae alisema Kafulila na kuongeza

"Binafsi sitegemei lolote kutoka katika kikao kwa namna hiyo. Wabunge wa nccr hawakutoka bungeni ili badae wakutane na rais. Tunaamini yeye rais, chama chake ccm na hata serikali yake hawana dhamira yakweli katika agenda ya katiba mpya tangu awali na hawatakuwa nayo" akitetea kauli yake, kafulila alisema CCM haiko tayari kukubali mabadiliko kwani ni msumari kwake yeye, ccm na serikali yake.

Akifafanua hoja hiyo kafulila alitoa mifano mitano kuthibitisha hilo. Kwanza ccm walikataa kuingiza agenda ya katiba kwenye ilani yao ingawa ilikuwa mahitaji ya umma, pili hata bada ya uchaguzi mwanasheria mkuu na waziri wa sheria na katiba waliweka wazi kuwa katiba mpya sio muhimu kwasasa kauli ambayo haijafutwa. Tatu ni kwa msingi huo mwezi april serikali kupitia baraza la mawaziri ambalo mwenyekiti wake ni rais walileta muswada mbovu kabisa ulioibua hasira hata kutakiwa urejeshwe serikalini. Nne bada ya kurudisha kikao kilichopita wamerudisha muswada mpya ambao ilitakiwa usomwe kwa mara ya kwanza ili umma upate nafasi kujadili lakini serikali na ccm wamekataa.

Na kuhitimishwa na kikao cha rais na wazee wa ccm mkoa wa dar kupuuza sauti ya umma ndani na nje ya bunge. Huu ni ushadi tosha kuwa hakuna dhamira ya kweli kutoka kwa rais na chama chake na hivyo nccr hatuoni sababu ya kushiriki alihitimisha Kafulila.
Taarifa kutoka kwa watu wa karibu na Jemus mbatia wanasema amekasirika sana baada ya kusoma Kauli ya Kafulia Kwenye gazt tz Daima!!!!
 
Hiyo ni janja tu ya kutaka kuwaingiza wake zao kwenye mazungumzo ili na ushabiki na kijikomba viwe sehemu ya ajenda. We mtu mwanaume mwenzio kakuomba mzungumze unaanza kujumuisha na mahausgel kwenye orodha wa nini sasa!

Umenichekesha sanaaana ! nilikua sijacheka siku ya leo, we ni noma!
 
Mbunge wa kigoma kusini na katibu mwenezi wa nccr mageuzi david kafulila amesema chama chao hakihitaji kukutana na Rais JK kwakuwa CCM, Serikali na hata Rais mwenyewe haina dhamira ya kweli ya kuleta katiba mpya.

Kafulila aliliambia tzdaima kuwa wameshangazwa na kauli ya ccm ya kutaka mazungumzo hayo yahusishe vyama vingine. Uamuzi wa kamati kuu ya ccm kuwa vyama vyote vikutane na JK. Sioni mantiki yake badala yake naona akutane na wanaotaka kukutana nae alisema Kafulila na kuongeza

"Binafsi sitegemei lolote kutoka katika kikao kwa namna hiyo. Wabunge wa nccr hawakutoka bungeni ili badae wakutane na rais. Tunaamini yeye rais, chama chake ccm na hata serikali yake hawana dhamira yakweli katika agenda ya katiba mpya tangu awali na hawatakuwa nayo" akitetea kauli yake, kafulila alisema CCM haiko tayari kukubali mabadiliko kwani ni msumari kwake yeye, ccm na serikali yake.

Akifafanua hoja hiyo kafulila alitoa mifano mitano kuthibitisha hilo. Kwanza ccm walikataa kuingiza agenda ya katiba kwenye ilani yao ingawa ilikuwa mahitaji ya umma, pili hata bada ya uchaguzi mwanasheria mkuu na waziri wa sheria na katiba waliweka wazi kuwa katiba mpya sio muhimu kwasasa kauli ambayo haijafutwa. Tatu ni kwa msingi huo mwezi april serikali kupitia baraza la mawaziri ambalo mwenyekiti wake ni rais walileta muswada mbovu kabisa ulioibua hasira hata kutakiwa urejeshwe serikalini. Nne bada ya kurudisha kikao kilichopita wamerudisha muswada mpya ambao ilitakiwa usomwe kwa mara ya kwanza ili umma upate nafasi kujadili lakini serikali na ccm wamekataa.

Na kuhitimishwa na kikao cha rais na wazee wa ccm mkoa wa dar kupuuza sauti ya umma ndani na nje ya bunge. Huu ni ushadi tosha kuwa hakuna dhamira ya kweli kutoka kwa rais na chama chake na hivyo nccr hatuoni sababu ya kushiriki alihitimisha Kafulila.
Taarifa kutoka kwa watu wa karibu na Jemus mbatia wanasema amekasirika sana baada ya kusoma Kauli ya Kafulia Kwenye gazt tz Daima!!!!
 
Binafsi siungi mkono hoja ya KAFULILA NA NCCR KWA UJUMLA

Pamoja ya kwamba points tano alizotoa Kafulila ni za kweli, na pamoja ya kwamba ni kweli CCM haikuwa na haina dhamira ya kweli ya kuleta katiba mpya, ikitambua kwamba kufanya hivyo ni kujichilbia kaburi.

Lakini napenda kusema kwamba siku zote migogoro hupatiwa ufumbuzi kwa kukaa pamoja na kuangalia tofauti zenu zilipo and then kujadili namna ya kufanya kwa pamoja( reconciliation).

Nafasi ambayo CHADEMA wanaitaka ni hii na si nyingine. Nafasi hii ni muhimu kwa sababu mnakaa wachache bila influence ya wapuuzi wengine amabao wanatoa ushauri kwa wakuu wao kwa kuzingatia matumbo yao.

Hii ni nzuri na binafsi naamini inaweza kuzaa matunda mazuri zaidi.

Hoja ya CHADEMA ya kumshauri Rais akutane na wadau wengine kama wanaharakati pia ni ya msingi zaidi.

Isitoshe Kafulila na NCCR watakuwa wanajaribu kuficha udhaifu wao wakushindwa kuona mbali na kutaka kukutana na JK kujadili hili mezani, mpaka CCM washauri.

Napenda kumshauri Kafulila na NCCR pamoja na wadau wengine kwamba anapotoa wazo zuri mwenzio tusione aibu au tusijisikie vibaya kusupport, especially kama suala hilo lina manuifaa kwa Taifa kwa ujumla wake.

Tuache siasa uchwara.
 
Najua wengi mtapinga lakini kafulila kawapiga hata CHADEMA bao. Nimsimamo mzuri sana. Chadema kwa kukubali kuonana na JK wamechemsha vibaya sana. Ninazo sababu za kuamini hivo kutokana na msimamo wa awali wa Chadema kuwa;
1. Mswaada sio halali kwa kuwa ulisomwa mala ya pili'
2. walisusia kushiriki mswaada batili ambao bado uko hivo hivo hata watakapo kutana na JK
3. Walituahidi kuishtaki serikali kwa wananchi
4. hawakutaka walau kushilikiana na NCCR (baadhi ya wabunge waliowaunga mkono awali) katika hatua ya kumuona JK

Wamepotea kimkakati. Kwa kukubali kujadili mswaada na JK wanaipa uzito hoja kuwa walikosea kususia mjadala wa msaada huo bungeni maaana hoja zao zingesikika kwa umma na msimamo wao kijulikana. Kwa Rais hakuta kuwa na fursa hiyo. Wanaenda kuzika hoja yao maaana wakikataliwa mawazo yao hawataeleweka tena wakirudi kwa wananchi maaana wataambiwa mlimpa mawazo Rais naye ni msikivu na atayazingatia. Wakiendeleza ubishi itakuwa rais sana kwa CCM kuishtaki CDM kwa wananchi kuwa hawapendi muafaka, hawaaamini wenzao na wanataka mawazo yao tu ndo yasikike.Pia hawatakuwa na uhalali wakusema hatukushirikishwa.

CDM wangekomaa na msimamo wa nguvu ya umma. Kwa hili naona hawana tena hata nafasi ya kuizodoa CUF kwa muafakana CCM. Kwanini wamekuwa waoga? Yako wapi mashtaka kwa wananchi yako wapi maaandamano ya nchi nzima. Niseme wazi naanza kushawishika kuamini malalamiko na hoja kuwa CDM hawana agenda ispokuwa kuusaka umaaarufu. Waliwaandaa watu kisaikolojia kupinga mswaaada kwa nguvu. Afu rais alipotoa hotuba badala wajibu hotuba wakanyweea. Kwanza rais aliwaita wapotoshaji wazi wazi. Kwa wao kuomba kukutana naye kisiasa wamempa rais credit na wanawaweza kuonekana kweli ni wapotoshaji wanao itaji seminar elekezi. Mimim sio mwanachama wa vyama hivi vya siasa hila nilianza kuona kuna mwanga CDM butb kwa hili I stongly beg to differ na naaanza kuona CDM ni waoga. Wamezidiwa hata na Kibamba amesimamia msimamo wake.

Nieleweke kuwa sipingi maafikiano wala siungi mkono nguvu ya umma but sipend ukigeugeu na kukosa msimamo. Mswaada hauwezi ukawa batili bungen na ukawa halali mikononi mwa rais. Na kama wanaenda kwa president ina maana wanamwamini sasa kwanini awali walikuwa wanamwita dictator. CDM kuweni consistent katika mambo yenu la sivyo mtatoweka kisiasa. Mnaweza kubisha but ukweli ndio huo. NEVER MAKE A PROMISE YOU CANT KEEP. Mshauri wenu kwa ili amewaingiza mkenge na muda sio mlefu CCM itawaewza maaana kwa mijadala na chenga za siasa CCM ipo juu. Ngivu ya umma ndo strategy ambayo ilikuwa inaitoa jasho. Kama hamuamini ona CC ilivoshangilia wazo hilo. ukiona mpinzani wako anakusifu ujue ushakosea.
 
Bora..Waache Chadema waende kwa mujibu wa ombi lao na JK akiona sasa anataka kukutana na wapinzani kwa hiari yake the atume application letter kwao wakiwemo Chadema kidume....
 
Mbunge wa kigoma kusini na katibu mwenezi wa nccr mageuzi david kafulila amesema chama chao hakihitaji kukutana na Rais JK kwakuwa CCM, Serikali na hata Rais mwenyewe haina dhamira ya kweli ya kuleta katiba mpya.

Kafulila aliliambia tzdaima kuwa wameshangazwa na kauli ya ccm ya kutaka mazungumzo hayo yahusishe vyama vingine. Uamuzi wa kamati kuu ya ccm kuwa vyama vyote vikutane na JK. Sioni mantiki yake badala yake naona akutane na wanaotaka kukutana nae alisema Kafulila na kuongeza

"Binafsi sitegemei lolote kutoka katika kikao kwa namna hiyo. Wabunge wa nccr hawakutoka bungeni ili badae wakutane na rais. Tunaamini yeye rais, chama chake ccm na hata serikali yake hawana dhamira yakweli katika agenda ya katiba mpya tangu awali na hawatakuwa nayo" akitetea kauli yake, kafulila alisema CCM haiko tayari kukubali mabadiliko kwani ni msumari kwake yeye, ccm na serikali yake.

Akifafanua hoja hiyo kafulila alitoa mifano mitano kuthibitisha hilo. Kwanza ccm walikataa kuingiza agenda ya katiba kwenye ilani yao ingawa ilikuwa mahitaji ya umma, pili hata bada ya uchaguzi mwanasheria mkuu na waziri wa sheria na katiba waliweka wazi kuwa katiba mpya sio muhimu kwasasa kauli ambayo haijafutwa. Tatu ni kwa msingi huo mwezi april serikali kupitia baraza la mawaziri ambalo mwenyekiti wake ni rais walileta muswada mbovu kabisa ulioibua hasira hata kutakiwa urejeshwe serikalini. Nne bada ya kurudisha kikao kilichopita wamerudisha muswada mpya ambao ilitakiwa usomwe kwa mara ya kwanza ili umma upate nafasi kujadili lakini serikali na ccm wamekataa.

Na kuhitimishwa na kikao cha rais na wazee wa ccm mkoa wa dar kupuuza sauti ya umma ndani na nje ya bunge. Huu ni ushadi tosha kuwa hakuna dhamira ya kweli kutoka kwa rais na chama chake na hivyo nccr hatuoni sababu ya kushiriki alihitimisha Kafulila.

Pongezi kwa uamuzi wenu wa busara. Ingekuwa fedheha kwa chama na uongozi wote wa NCCR kama mngehudhuria kikao hicho

Pia nawapongeza CDM kwa uamuzi wao wa kuonyesha kujali maslahi ya nchi kwa kutoa fursa nyingine kwa serikali kukubali matakwa ya wananchi. Iwapo watashindwa kutumia fursa hiyo basi historia itakuwa imeshaandikwa na itaonyesha juhudi mlizofanya kuzuia hatari zinazokuja mbeleni.

Iwapo watawala wataendelea kuwa na shingo ngumu basi Nguvu ya umma itaamua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom