Elections 2010 NCCR-Mageuzi wajipanga kupinga ushindi wa Mdee mahakamani

Huyu jamaa wa umoja wa kitaifa naye......... alikalia kujadili mambo ya umoja wa kitaifa kwenye kampeni badala ya sera, imwekula kwake!

jamaa huyu sikuwahi kumsikia akiomba kura mabali ya porojo za umoja wa kitaifa, yeye alikuwa akiongea kama kiongozi tayari nasiyo mgombea!

akachukuwe kura za anjera aongezee mdee atamwongezea kidogo kutoa aibu ya kupata kula 10,000 wakati wanawake wana 100,000.
 
Kesi nyingine ni ya Jimbo la Kawe ambapo wanaamini kuwa maneno ya Nkya kwamba mgombea wa chama hicho, James Mbatia ananyanyasa wanawake yalisababisha wanawake na wasichana kuwapigia kuwa wanawake wenzao.

Aliwataja wanawake hao kuwa ni Mdee aliyeshinda na Angela Kizigha wa CCM aliyeshika nafasi ya pili.

Alisema sheria ya uchaguzi ya mwaka 1985, inakataza kushawishi kupiga kura kwa kufuata jinsia, na shauri lingine linamtaka Mdee kuthibitisha kauli yake kwamba Mbatia kapewa milioni 80 na CCM kutokana na kutokuwepo na hesabu za kupokea kiasi hicho cha fedha
katika vitabu vya hesabu vya vyama hivyo.

“Kwa misingi hii, Halima Mdee alijua kuwa anasema uongo, basi alikusudia kupotosha
wapigakura na kama aliyasema yana ukweli atakuwa amevisaidia vyama hivyo juu ya ufujaji mkubwa wa mali za vyama na njia ya kujua kweli ni kufika mahakamani,” alisema.

Alisisitiza kuwa kesi ya Mdee na Nkya ni ya uchaguzi lakini wanaweza kufunguliwa kesi
nyingine na Mbatia kudai bilioni moja kwa kumdhalilisha kutokana na kutoomba msamaha katika siku walizopewa.

Hata hivyo, Nkya alishasema kuwa alinukuliwa vibaya na gazeti (si Habarileo) wakati Mdee alikanusha kuwa hajawahi kusema mambo hayo

Huyu jamaa kwan ni wa jinsia gani? Mbona ana mabifu na wanawake? Kwanini asimshataki na huyo wa CCM?

.
Ni wa jinsia gani? Acha utani bana Mbatia ni mwanaume tena wa shoka. Ana mke na watoto au...?
Kuhusu kushawishi kupigiwa kura kijinsia aanze kuliburuza bunge la sisiem mahakamani kwa kutumia kigezo cha jinsia kumpata spika.
 
Kesi nyingine ni ya Jimbo la Kawe ambapo wanaamini kuwa maneno ya Nkya kwamba mgombea wa chama hicho, James Mbatia ananyanyasa wanawake yalisababisha wanawake na wasichana kuwapigia kuwa wanawake wenzao.

Aliwataja wanawake hao kuwa ni Mdee aliyeshinda na Angela Kizigha wa CCM aliyeshika nafasi ya pili.

Alisema sheria ya uchaguzi ya mwaka 1985, inakataza kushawishi kupiga kura kwa kufuata jinsia, na shauri lingine linamtaka Mdee kuthibitisha kauli yake kwamba Mbatia kapewa milioni 80 na CCM kutokana na kutokuwepo na hesabu za kupokea kiasi hicho cha fedha
katika vitabu vya hesabu vya vyama hivyo.

“Kwa misingi hii, Halima Mdee alijua kuwa anasema uongo, basi alikusudia kupotosha
wapigakura na kama aliyasema yana ukweli atakuwa amevisaidia vyama hivyo juu ya ufujaji mkubwa wa mali za vyama na njia ya kujua kweli ni kufika mahakamani,” alisema.

Alisisitiza kuwa kesi ya Mdee na Nkya ni ya uchaguzi lakini wanaweza kufunguliwa kesi
nyingine na Mbatia kudai bilioni moja kwa kumdhalilisha kutokana na kutoomba msamaha katika siku walizopewa.

Hata hivyo, Nkya alishasema kuwa alinukuliwa vibaya na gazeti (si Habarileo) wakati Mdee alikanusha kuwa hajawahi kusema mambo hayo

Huyu jamaa kwan ni wa jinsia gani? Mbona ana mabifu na wanawake? Kwanini asimshataki na huyo wa CCM?

.
Ni wa jinsia gani? Acha utani bana Mbatia ni mwanaume tena wa shoka. Ana mke na watoto au...?
Kuhusu kushawishi kupigiwa kura kijinsia aanze kuliburuza bunge la sisiem mahakamani kwa kutumia kigezo cha jinsia kumpata spika.
 
Du tutafika tumechoka. Huyo huyo anataka vyama vya upinzani viungane bungeni. hizo kama sio double standards basi ni double talk.
 
Huyu sasa naona anaelekea ile safari ya Mrema,ila masikitiko yangu ni kwamba yu bado kijana tofauti na mwenziye.
 
Mwacheni Mbatia ana haki zake kikatiba.
Kama anadhani atafanikiwa sawa. Lakini akishindwa atakuwa kakiweka chama katika hali ngumu na inaweza kumuathiri kiuongozi pia.
 
Hivi huyu Mbatia alikuwa mshindi wa ngapi? Ndiyo maana anaambiwa katumwa na CCM kugombea.
 
"huyu jamaa ni jinsia gani?" mhhhh, nimeipenda hii. Huyu bwana na chama chake wajue kuwa jambo moja ni muhimu na liko wazi, nalo ni kwamba watanzania wanataka mageuzi ya khmfumo, kifikra, kiuchumi, khvamaduni, khuchumi n.k. Aaache long6long6
 
Back
Top Bottom