Huyu jamaa wa umoja wa kitaifa naye......... alikalia kujadili mambo ya umoja wa kitaifa kwenye kampeni badala ya sera, imwekula kwake!
jamaa huyu sikuwahi kumsikia akiomba kura mabali ya porojo za umoja wa kitaifa, yeye alikuwa akiongea kama kiongozi tayari nasiyo mgombea!
akachukuwe kura za anjera aongezee mdee atamwongezea kidogo kutoa aibu ya kupata kula 10,000 wakati wanawake wana 100,000.
jamaa huyu sikuwahi kumsikia akiomba kura mabali ya porojo za umoja wa kitaifa, yeye alikuwa akiongea kama kiongozi tayari nasiyo mgombea!
akachukuwe kura za anjera aongezee mdee atamwongezea kidogo kutoa aibu ya kupata kula 10,000 wakati wanawake wana 100,000.