NCCR Kasulu wamezomewa na wananchi

kajunju

JF-Expert Member
Jun 30, 2011
999
315
Leo jioni hii nccr mageuzi walikuwa na mkutano katika stand ya tax mjin kasulu. Mwenye jimbo la ksl mjini mh machali hakuhudhulia bali mhe. Zaituni pamoja na diwan wa kasulu mjini na wale madiwan wa vijijin wameudhuria mkutano huu.zomeazomea imemkumba mh zaitun buyogera baada ya kueleza sababu za kumfukuza kafurila. Leo nccr tangu waingie madarakan wameonyeshwa na wananchi kuwa uongoz wa juu wa nccr ni wasanii. Nawasilisha
 
Pamoja na mkutano wao ama kwa hakika wananchi dhahiri shahili walikerwa na KATIBU MKUU wa NCCR MAGEUZI TAIFA Ndg SAM RUHUZA kushindwa kuwaelezea kwa ufasaha walivyomfukuza KAFULILA.Hapo ndp zomeazomea zilipoanzia mpaka viongozi wote kuishiwa pozi kwa kuzomewa mpaka kushindwa kuwahutubia wananchi.
 
Acha uwongo wewe kafulila, mbona mimi nilkuwa kwenye mkutano huo na wala hakuna mambo hayo unayotueleza hapa. Umeyatoa wapi? tunajua ni mwendelezo wa sanaa na mazingaombwe ya kafulila ya kuwahadaa watu kuwa nakubalika sana, huyu kafulila si anataka kuingia APPT maendeleo, nadhani hata mzirai atakutimua. Huna adabu, uliandaa watu kule arusha watangaze magazetini kuwa vigogo wa nccr wahamia chadema, hivi kweli nccr kuna cheo cha katibu mwenezi wa mkoa. KAFULILA umechanganyikiwa, na bado ni mwanzo, maana hata degree hauna sasa sjui atakuajili nani? Tueleze uliipata wapi degree ya BBA?
 
limbukeni utamjua tu,mada ni nccr (makameruni) kuzomewa,we unamshambulia kafulila,huoni kuwa huo ni umaskini wa fikra?utahangaika sana kumchafua kafulila lakini jua kuwa yule jamaa yuko juu,hachafuliki.sina maslahi yoyote lakini anakubalika,mtaendelea kuzomewa kila mtakapopita...HIYO NDIO ADHABU YENU...........VIPANGA NYIE.
 
nccr lazima isambaratike na hiki kipindi cha miaka 5 kinawatosha sana,2015 chinjilia mbali wehu nyie.
 
huyo mental fresh ruhuza ambaye hajawahi kugombea hata ujumbe wa nyumba kumi leo aweze kuongea mbele za wanaume kweli.
kwanza ameolewa? kuna dume apa linatafuta mke kama kuna mtu ana namba yake tuwekeeni apa.
 
Acha uwongo wewe kafulila, mbona mimi nilkuwa kwenye mkutano huo na wala hakuna mambo hayo unayotueleza hapa. Umeyatoa wapi? tunajua ni mwendelezo wa sanaa na mazingaombwe ya kafulila ya kuwahadaa watu kuwa nakubalika sana, huyu kafulila si anataka kuingia APPT maendeleo, nadhani hata mzirai atakutimua. Huna adabu, uliandaa watu kule arusha watangaze magazetini kuwa vigogo wa nccr wahamia chadema, hivi kweli nccr kuna cheo cha katibu mwenezi wa mkoa. KAFULILA umechanganyikiwa, na bado ni mwanzo, maana hata degree hauna sasa sjui atakuajili nani? Tueleze uliipata wapi degree ya BBA?

naamini kbs hukuwepo,ina maana hukuona sam ruhuza anazomewa na zaituni mbunge?
 
Wadau tukio hili limetokea leo jioni hapa kasulu mjini stand ya taxi ambapo huwa inafanyika mikutano mingi ya kisiasa, Katibu mkuu Samweli Ruhuza na Zaituni Buyogera ambae ni mbunge wa nccr ktk jimbo la kasulu vijijini walizomewa na wananchi pale waliposema kafulila alikuwa ni mbunge mhuni na mvuta bangi ndo maana wakamfukuza.
Ilikuwa kubwa sana

Source: Mimi mwenyewe nikuwepo
 
Leo jioni hii nccr mageuzi walikuwa na mkutano katika stand ya tax mjin kasulu. Mwenye jimbo la ksl mjini mh machali hakuhudhulia bali mhe. Zaituni pamoja na diwan wa kasulu mjini na wale madiwan wa vijijin wameudhuria mkutano huu.zomeazomea imemkumba mh zaitun buyogera baada ya kueleza sababu za kumfukuza kafurila. Leo nccr tangu waingie madarakan wameonyeshwa na wananchi kuwa uongoz wa juu wa nccr ni wasanii. Nawasilisha[/QUOTE

Kwahiyo?
 
huyo mental fresh ruhuza ambaye hajawahi kugombea hata ujumbe wa nyumba kumi leo aweze kuongea mbele za wanaume kweli.
kwanza ameolewa? kuna dume apa linatafuta mke kama kuna mtu ana namba yake tuwekeeni apa.

Aliwahi kugombea ubunge jimbo la ngara mwaka 2005 akashindwa na prof Banyikwa,kuhusu suala la ubishi kati ya kafulira vs Ruhuza/Mbatia hapo sina mchango zaidi,tatizo ni katiba na kwa vile suala hili linawasaidia ccm katika kuwafunga midomo wabunge wao sina uhakika kama suluhisho litapatikana kwa hicho kinachoitwa katiba mpya
 
Acha uwongo wewe kafulila, mbona mimi nilkuwa kwenye mkutano huo na wala hakuna mambo hayo unayotueleza hapa. Umeyatoa wapi? tunajua ni mwendelezo wa sanaa na mazingaombwe ya kafulila ya kuwahadaa watu kuwa nakubalika sana, huyu kafulila si anataka kuingia APPT maendeleo, nadhani hata mzirai atakutimua. Huna adabu, uliandaa watu kule arusha watangaze magazetini kuwa vigogo wa nccr wahamia chadema, hivi kweli nccr kuna cheo cha katibu mwenezi wa mkoa. KAFULILA umechanganyikiwa, na bado ni mwanzo, maana hata degree hauna sasa sjui atakuajili nani? Tueleze uliipata wapi degree ya BBA?
Malagarasi wewe ni ndugu moja na malaria sugu?
 
Kwanza itabidi tuanze kuhoji uraia wa Sam Luhuza, ulishawahi kujiuliza ni kwanini hataki hata kugombea ubunge au udiwani hapa Kigoma?
huyo mental fresh ruhuza ambaye hajawahi kugombea hata ujumbe wa nyumba kumi leo aweze kuongea mbele za wanaume kweli.
kwanza ameolewa? kuna dume apa linatafuta mke kama kuna mtu ana namba yake tuwekeeni apa.
 
Acha uwongo wewe kafulila, mbona mimi nilkuwa kwenye mkutano huo na wala hakuna mambo hayo unayotueleza hapa. Umeyatoa wapi? tunajua ni mwendelezo wa sanaa na mazingaombwe ya kafulila ya kuwahadaa watu kuwa nakubalika sana, huyu kafulila si anataka kuingia APPT maendeleo, nadhani hata mzirai atakutimua. Huna adabu, uliandaa watu kule arusha watangaze magazetini kuwa vigogo wa nccr wahamia chadema, hivi kweli nccr kuna cheo cha katibu mwenezi wa mkoa. KAFULILA umechanganyikiwa, na bado ni mwanzo, maana hata degree hauna sasa sjui atakuajili nani? Tueleze uliipata wapi degree ya BBA?

Wewe utakuwa Machali tuu si bure, unaacha kumtoa mtoto na baba yako MIREMBE unamwandama kafulila, badala uungane nae muisogeze mbele Tanzania we unakalia kuropoka tuu, wewe nawe unaelekea mirembe siku si nyingi,...huna jipya fujo tuu unazo hapa hebu leta hoja za mada za msingi, sio fitna za makundi hazikufikishi popote
 
Acha uwongo wewe kafulila, mbona mimi nilkuwa kwenye mkutano huo na wala hakuna mambo hayo unayotueleza hapa. Umeyatoa wapi? tunajua ni mwendelezo wa sanaa na mazingaombwe ya kafulila ya kuwahadaa watu kuwa nakubalika sana, huyu kafulila si anataka kuingia APPT maendeleo, nadhani hata mzirai atakutimua. Huna adabu, uliandaa watu kule arusha watangaze magazetini kuwa vigogo wa nccr wahamia chadema, hivi kweli nccr kuna cheo cha katibu mwenezi wa mkoa. KAFULILA umechanganyikiwa, na bado ni mwanzo, maana hata degree hauna sasa sjui atakuajili nani? Tueleze uliipata wapi degree ya BBA?

Malagarasi,
Ni heri kukaa kimya kuliko kupotosha wana Jf. Acha wivu na chuki zisizo na maana na Kafulila. Jana viongozi wako wa NCCR wamezomewa sana tu..habari ndiyo hiyo! Mimi si mshabiki wa Kafulila lakini sipendi watu waongo na wazushi kama wewe.
 
Leo jioni hii nccr mageuzi walikuwa na mkutano katika stand ya tax mjin kasulu. Mwenye jimbo la ksl mjini mh machali hakuhudhulia bali mhe. Zaituni pamoja na diwan wa kasulu mjini na wale madiwan wa vijijin wameudhuria mkutano huu.zomeazomea imemkumba mh zaitun buyogera baada ya kueleza sababu za kumfukuza kafurila. Leo nccr tangu waingie madarakan wameonyeshwa na wananchi kuwa uongoz wa juu wa nccr ni wasanii. Nawasilisha[/QUOTE

Kwahiyo?

kwahiyo unauliza makofi polisi?habari ndiyo hiyo.usku walikuwa na kikao high way hotel.kilichojadiliwa hatujakipata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom