Leo jioni hii nccr mageuzi walikuwa na mkutano katika stand ya tax mjin kasulu. Mwenye jimbo la ksl mjini mh machali hakuhudhulia bali mhe. Zaituni pamoja na diwan wa kasulu mjini na wale madiwan wa vijijin wameudhuria mkutano huu.zomeazomea imemkumba mh zaitun buyogera baada ya kueleza sababu za kumfukuza kafurila. Leo nccr tangu waingie madarakan wameonyeshwa na wananchi kuwa uongoz wa juu wa nccr ni wasanii. Nawasilisha