Vijisenti
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 544
- 328
Nilitembelea Center moja katika zile zinazotoa elimu ya Computer Nikakuta mfumo tofauti kidogo na mifumo tuliyozoea. Wao wanatoa Diploma kwa mwaka mmoja, Advanced Diploma kwa mwaka mmoja zinaitwa International Diploma & Advanced diploma na ziko chini ya NCC.
Ukimaliza hizo unafanya Bachelor degree ya Business studies au Bachelor ya Computer studies inayotolewa na Greenwich university. Ninachoomba kufahamu hapa ni kama Elimu ile ya NCC inakubalika na serikali yetu.
Vyuo hivyo viko viwili kimoja kinaitwa Learn IT na kingine kinaitwa Institute Of Information Technology Je nikifanya hiyo Degree kweli inakubalika hapa nchini?
Naombeni ufafanuzi wenu tafadhali.
Ukimaliza hizo unafanya Bachelor degree ya Business studies au Bachelor ya Computer studies inayotolewa na Greenwich university. Ninachoomba kufahamu hapa ni kama Elimu ile ya NCC inakubalika na serikali yetu.
Vyuo hivyo viko viwili kimoja kinaitwa Learn IT na kingine kinaitwa Institute Of Information Technology Je nikifanya hiyo Degree kweli inakubalika hapa nchini?
Naombeni ufafanuzi wenu tafadhali.