Mc Kihiga
Member
- Mar 17, 2011
- 36
- 3
Hii imenitoke tarehe: 21.03.2011 saa: 1437hrs.
Nilifika eneo la Bank hiyo muda huo kwa lengo la kuchukua pesa kweny Mashine pesa {ATM}zilizopo nje ya jengo hilo kamailivyo kawaida.
Awali nilitoa laki nne Tshs: {400,000/=} nilifanikiwa lengo ni kutoa laki tano {500,000/=} ikabaki laki moja, {100,000/=} kumbuka ni mashine ya kushoto kama unaingi.
Kimbembe kilianzia kwenye utoaji wa laki moja ya mwisho mashine ili maliza proccess zote kama kawaida wakati wa kutoa ilito elfu themanini Tshs {80,000/=} tofauti na kiwango kilicho kuwa kwenye listi kwenye listi imesoma laki moja kawaida.
Picture: wakati pesa inatoka elfu Sabini 70,000/= zilikuwa noti za elfu kumi na noti mbili zilikuwa ni elfu tano {5,000/} wakati zinatoka zote kwa pamoja ziliruka nusu ya kudondoka chini noti mbili za elfu tano tano zilionekana kukunjwa kwa marefu zikiwa zimeambatanishwa vyema mara baada ya kuhesabu nikapata kiasi cha elfu themanini badala ya ya laki moja kama nilivyo command.
Ufuatiliaji: Nikaenda kutaka kuingia ndani lakini tayari walikuwa wamesha funga na askari mlinzi aliekuwepo muda ule alikataa kabisa kuonesha ushirikiano kwa madai kuwa muda umeisha hakuna ruhusa ya kuingia ndani mpaka kesho.
Mashaka: Mimi mashaka yangu ni kama ifuatavyo:
i)«» Kwa sasa siwezi kutembea umbali mrrefu kwa usafiri wa umma kwa sababu nilipata ajali hivyo ni lazima nitumie taxi, hivyo kutoka ninapo ishi hadi Kinondoni kwenda na kurudi ni wastani wa elfu Thelathini {30,000/=} kitu amacho akiwezekani kupoteza elfu Thelathini sababu ya kuokoa elfu ishilini?
ii)«» Ni nini kilicho tokea je, ni ubovu wa mashine, na kama ndiyo kwa nini inatumika?
iii)«» Ni mpango mbaya wa fedha ktk mashine husika, na kama ndiyo je, wanaopanga hawana-elimu ya kutosha juu ya kazi hiyo na kama ndiyo ni Wanajamii wangapi watapata hasara na kiasi gani na kwa muda gani, na hiyo pesa inayo salia ktk mashine inatumika vipi?
iv)«» Je, ni hujuma ya Bank ambayo inafanywa na sehemu ya wafanyakazi wasio na maadili katika maslahi binfsi, {Mpango unaoeleweka na baadhi viongozi wakubwa ktk Bank hiyo}?
v)«» Je, siku nikienda watanielewa wakati sina usibitisho au kielelezo muhimu cha makato hayo ambayo si halali, ukizingatia risiti inaonenyasha kuwa nimetoa laki moja?
Uchunguzi binafsi: Mara baada ya kuona juhudi zangu zimekwama nilisubiri ili nione kama kuna Mtu mngine atatokewa na ttz kama langu, lakini cha ajabu watu karibu wote nilishuhudia wakiikwepa mashine ile na kudai si nzuri inakata pesa na kumeza kadi mara kwa mara alisikika mmoja kati ya wateja walio kuwa wakingojea kuchukua pesa ktk mashine hizo.
Mwisho kabisa: Nashkuru sana kwa wana "jf" wote walio shiriki kusoma na watakao kuwa na ushauri mauni wanakaribishwa kuchangia swala hili nilifanikiwa kumpata Chief Security Officer NBC TZ na akashauri niende kesho yake kwa ajili ya ufuatiliaji zaidi katika branch hiyo.
Mc!
Nilifika eneo la Bank hiyo muda huo kwa lengo la kuchukua pesa kweny Mashine pesa {ATM}zilizopo nje ya jengo hilo kamailivyo kawaida.
Awali nilitoa laki nne Tshs: {400,000/=} nilifanikiwa lengo ni kutoa laki tano {500,000/=} ikabaki laki moja, {100,000/=} kumbuka ni mashine ya kushoto kama unaingi.
Kimbembe kilianzia kwenye utoaji wa laki moja ya mwisho mashine ili maliza proccess zote kama kawaida wakati wa kutoa ilito elfu themanini Tshs {80,000/=} tofauti na kiwango kilicho kuwa kwenye listi kwenye listi imesoma laki moja kawaida.
Picture: wakati pesa inatoka elfu Sabini 70,000/= zilikuwa noti za elfu kumi na noti mbili zilikuwa ni elfu tano {5,000/} wakati zinatoka zote kwa pamoja ziliruka nusu ya kudondoka chini noti mbili za elfu tano tano zilionekana kukunjwa kwa marefu zikiwa zimeambatanishwa vyema mara baada ya kuhesabu nikapata kiasi cha elfu themanini badala ya ya laki moja kama nilivyo command.
Ufuatiliaji: Nikaenda kutaka kuingia ndani lakini tayari walikuwa wamesha funga na askari mlinzi aliekuwepo muda ule alikataa kabisa kuonesha ushirikiano kwa madai kuwa muda umeisha hakuna ruhusa ya kuingia ndani mpaka kesho.
Mashaka: Mimi mashaka yangu ni kama ifuatavyo:
i)«» Kwa sasa siwezi kutembea umbali mrrefu kwa usafiri wa umma kwa sababu nilipata ajali hivyo ni lazima nitumie taxi, hivyo kutoka ninapo ishi hadi Kinondoni kwenda na kurudi ni wastani wa elfu Thelathini {30,000/=} kitu amacho akiwezekani kupoteza elfu Thelathini sababu ya kuokoa elfu ishilini?
ii)«» Ni nini kilicho tokea je, ni ubovu wa mashine, na kama ndiyo kwa nini inatumika?
iii)«» Ni mpango mbaya wa fedha ktk mashine husika, na kama ndiyo je, wanaopanga hawana-elimu ya kutosha juu ya kazi hiyo na kama ndiyo ni Wanajamii wangapi watapata hasara na kiasi gani na kwa muda gani, na hiyo pesa inayo salia ktk mashine inatumika vipi?
iv)«» Je, ni hujuma ya Bank ambayo inafanywa na sehemu ya wafanyakazi wasio na maadili katika maslahi binfsi, {Mpango unaoeleweka na baadhi viongozi wakubwa ktk Bank hiyo}?
v)«» Je, siku nikienda watanielewa wakati sina usibitisho au kielelezo muhimu cha makato hayo ambayo si halali, ukizingatia risiti inaonenyasha kuwa nimetoa laki moja?
Uchunguzi binafsi: Mara baada ya kuona juhudi zangu zimekwama nilisubiri ili nione kama kuna Mtu mngine atatokewa na ttz kama langu, lakini cha ajabu watu karibu wote nilishuhudia wakiikwepa mashine ile na kudai si nzuri inakata pesa na kumeza kadi mara kwa mara alisikika mmoja kati ya wateja walio kuwa wakingojea kuchukua pesa ktk mashine hizo.
Mwisho kabisa: Nashkuru sana kwa wana "jf" wote walio shiriki kusoma na watakao kuwa na ushauri mauni wanakaribishwa kuchangia swala hili nilifanikiwa kumpata Chief Security Officer NBC TZ na akashauri niende kesho yake kwa ajili ya ufuatiliaji zaidi katika branch hiyo.
Mc!