Hivi karibuni Banki ya NBC wameanza kutumia mfumo mpya wa Kompyuta/Software kwa lengo la kuboresha
Huduma zao kwa wateja...Heko wa hilo NBC!
KERO KWA WATEJA!![/B]
Kwanini hamtoi Bank Statement kwa muda toka muanze kutumia programu hiyo mpya bila kuomba msamaha
kwa usumbufu mnaowapatia wateja wenu?
Je hamjui kutofanya hivyo ni kuvunja mkataba kati yenu na wateja ambao unaonyesha wazi kwamba mteja
atakuwa na haki ya kupata taarifa ya Account yake/Bank statement kila atakapohitaji?Mtashitakiwa na wateja
Je wateja kama hawawezi kupata Staetement zao,tuna uhakika gani na Usalama wa Pesa za wateja?
SHIME!
NBC Bank kubwa na ya kuigwa mfano,igeni mfano wa Barclays Bank na NMB,Exim na Bank zingine kwa kuanzi
isha mfumo mpya wa kisasa wa ONLINE STATEMENT!
Nina Imani Mkurugenzi umeipata Hiyoooooooo ,ondoa AIBU HIYOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mteja wenu mpendwa.
Huduma zao kwa wateja...Heko wa hilo NBC!
KERO KWA WATEJA!![/B]
Kwanini hamtoi Bank Statement kwa muda toka muanze kutumia programu hiyo mpya bila kuomba msamaha
kwa usumbufu mnaowapatia wateja wenu?
Je hamjui kutofanya hivyo ni kuvunja mkataba kati yenu na wateja ambao unaonyesha wazi kwamba mteja
atakuwa na haki ya kupata taarifa ya Account yake/Bank statement kila atakapohitaji?Mtashitakiwa na wateja
Je wateja kama hawawezi kupata Staetement zao,tuna uhakika gani na Usalama wa Pesa za wateja?
SHIME!
NBC Bank kubwa na ya kuigwa mfano,igeni mfano wa Barclays Bank na NMB,Exim na Bank zingine kwa kuanzi
isha mfumo mpya wa kisasa wa ONLINE STATEMENT!
Nina Imani Mkurugenzi umeipata Hiyoooooooo ,ondoa AIBU HIYOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mteja wenu mpendwa.