Nbc bank kuna wezi kuwa makini na account yako

watambi

JF-Expert Member
Dec 7, 2011
327
254
Kuna wafanyakazi wa kampuni moja. Wapo zaidi ya kumi wamejikuta hela zao zimetoweka katika mazingira ya kutatanisha katika akaunti zao Za NBC. Na kila mmoja kwa wakati wake alijaribu kufuatilia bila mafanikio.Ila walioibiwa wote ni wale wenye kadi mpya Za NBC.Je kuna mwanajamvi yeyote naye keshalizwa? Nawakilisha
 
Itabidi sasa tuache kupeleka pesa Benki, kla siku ni hadithi za wizi, wizi, wizi tu!
 
Unajua nilidhani ni izi local banks zetu tuu yaani mpaka Stanbic jamaa yangu walikwangua ela yake.
Banks needs to be serious bse the cry is from all over acheni wizi
 
Kuna wafanyakazi wa kampuni moja. Wapo zaidi ya kumi wamejikuta hela zao zimetoweka katika mazingira ya kutatanisha katika akaunti zao Za NBC. Na kila mmoja kwa wakati wake alijaribu kufuatilia bila mafanikio.Ila walioibiwa wote ni wale wenye kadi mpya Za NBC.Je kuna mwanajamvi yeyote naye keshalizwa? Nawakilisha

Aisee sio NBC tu! Wiki iliyopita nami niliibiwa kwenye Account yangu ya CRDB mpaka leo bado nafuatilia, kuna watu walikuwa wanatoa hela toka kwenye Account yangu kwa kutumia EXIM bank, mpaka leo nafuatilia
 
stanbic ndo hakufai kabisa..kuna shida kubwa kwenye benki zetu za tanzania..hakuna maadili na wala hawajali wateja kabisa..
 
Kiukweli hii habari inasikitisha sana wengi wameibiwa sana na siyo hapa nchini tu, vilio hivi vipo sana sehemu nyingi na sisi wenyewe wateja inatubidi tuwe makini unamkuta mtu anachomeka ATM card kuomba kudraw fedha na anaomba apatiwe list baada ya huduma ile list anaitupa kwenye kapu la taka, sasa wenzio watatumia hivyo vilist vyetu kuweza kusaidi kuingilia kwenye account yako. Jamani ukiomba list ondoka nayo kama huitaki bora usiombe kabisa.
 
Jamani hata mie nimeibiwa kamshahara ka mwezi huu. Nimekuta vipesa kiduchu. Hadi sasa nahaha namna ya kuishi, ndo naanza kufuatilia
 
Wizi wa mabenk umeanza zamani sana
hata kabla ya teknolojia mpya
kuna teller pale mbeya alikuwa akikuhesabia hela anadondosha chini kwenye
miguu yake hasa anapoona una haraka huwezi kucounter check.

sasa ndo wanaiba kwa kwenda mbele
ila mchongo unakuwa wa wafanyakazi wa humo humo ndani ya benki.
 
Aisee sio NBC tu! Wiki iliyopita nami niliibiwa kwenye Account yangu ya CRDB mpaka leo bado nafuatilia, kuna watu walikuwa wanatoa hela toka kwenye Account yangu kwa kutumia EXIM bank, mpaka leo nafuatilia

Fuatilia ujue ni ATM gani pesa zako zimetolewa, ukishajua nenda exim uwaombe wakuangalizie picha. mimi niliibwa namna hiyo kujakufuatilia nikakuta ni mtu wangu karibu ndo kaniibia kadi yangu. nilishawahi kumtuma akanichukulie pesa nikampa namba ya siri.
 
mSiogope jaman. kwa usalama wa pesa zako. na kujua kila kinachoendelea ktk akaunt yako 24/7 na teknolojia ya kibenk ya hali ya juu. tembelea FNB BANK. popote tanzania na upate kaunt yako leo. kwan una uwezo wa ku trace akaunt yako popote na wakat wowote.
mi binafsi nimewakubali sana hawa jamaa yaani hata ikitoka shs 10 ktk ak.unt yako unapata sms na email notificatiom.
 
kwa uelewa wangu mimi sio watu wanaibiwa isipokuwa sisi wnyewe tunajiipia kiukweli watu wengi sasa hivi wanapenda kununua vitu online. Na ndio sababu ya wao kuibiwa unapokuwa umeona kitu kwenye internet alafu ukataka kununua kwa kutoa VISA,MASTER CARD au NYNGNE YOYOTE inayoweza kukuruhusu wewe kununua hicho kitu. swali ni kwamba unauhakika gani na huyo unaempa bank account yako online tena password? watu wengi wanaibiwa na kukombwa pesa zao kwenye accont alafu mwisho wa siku wanawasingizia bank fulani wamemuibia pesa hiyo kitu haipo bank wapo kwa ajili ya kutrust wewe wapo kwa ajili yako so ndugu zangu UNAJIIBIA MWENYEWE
 
Kuna kitengo ndani ya bank kinaitwa "Risk Management" hao ndio wezi balaa hao watu,yani wanapitia kila accoount wanacholopoa mia hadi buku 2000 sasa wakifanya hvyo kwa wateja 500,000? Ni sh ngapi wanaingiza kwa mwezi kwa wizi? BOT mmelala tu na mmekalia politiki wenzenu wanatuibia!! Ukitaka kujua mabenk wanaiba we ulizia bank statement ya mwezi tu halafu angalia makato yako yani utakuta kwa mwezi kalipia elfu 7 hadi kumi haionekani ilipo!!
 
Jamani tusiwalaumu sana wafanyakazi, ukitoa taariza za account yako kwenye internet, ikiwemo pamoja na kadi namba yako, unaweza kuibiwa na watu wanaojiita 'hookers'. zaidi unaponunua vitu online ni hatari pia, swapping of your master card on the point sales, be careful do not leave receipts behind, if does not print cancel the transaction.
 
mSiogope jaman. kwa usalama wa pesa zako. na kujua kila kinachoendelea ktk akaunt yako 24/7 na teknolojia ya kibenk ya hali ya juu. tembelea FNB BANK. popote tanzania na upate kaunt yako leo. kwan una uwezo wa ku trace akaunt yako popote na wakat wowote.
mi binafsi nimewakubali sana hawa jamaa yaani hata ikitoka shs 10 ktk ak.unt yako unapata sms na email notificatiom.
na hao walioibiwa wanaweza ku-trace account zao mahali popote na ndio maana wamegundua kuwa wameibiwa mkuu.

Katika suala la maendeleo ya teknolojia hakuna wa kupona kwani hata hao waiozigundua wanaweza kuibiwa na wakagundua wakati pesa zilishaliwa!
 
Kiukweli hii habari inasikitisha sana wengi wameibiwa sana na siyo hapa nchini tu, vilio hivi vipo sana sehemu nyingi na sisi wenyewe wateja inatubidi tuwe makini unamkuta mtu anachomeka ATM card kuomba kudraw fedha na anaomba apatiwe list baada ya huduma ile list anaitupa kwenye kapu la taka, sasa wenzio watatumia hivyo vilist vyetu kuweza kusaidi kuingilia kwenye account yako. Jamani ukiomba list ondoka nayo kama huitaki bora usiombe kabisa.

Risiti (au Receipt) mkuu
 
Mimi nimempa bibi pesa zangu anitunzie sitaki kujua anaziweka wapi..........Kwake hakuna riba,wizi, foleni ya ATM wala network down , ni kiasi cha kumwambia nahitaji 20,000.Unasubiria kibarazani anakuletea cash.

Ila kuna service charge kama kg 1 ya sukari angalau kwa mwezi!
 
mSiogope jaman. kwa usalama wa pesa zako. na kujua kila kinachoendelea ktk akaunt yako 24/7 na teknolojia ya kibenk ya hali ya juu. tembelea FNB BANK. popote tanzania na upate kaunt yako leo. kwan una uwezo wa ku trace akaunt yako popote na wakat wowote.
mi binafsi nimewakubali sana hawa jamaa yaani hata ikitoka shs 10 ktk ak.unt yako unapata sms na email notificatiom.

advertisement...watakulipa?
 
Kuna kitengo ndani ya
bank kinaitwa "Risk Management" hao ndio wezi balaa hao watu,yani
wanapitia kila accoount wanacholopoa mia hadi buku 2000 sasa wakifanya
hvyo kwa wateja 500,000? Ni sh ngapi wanaingiza kwa mwezi kwa wizi? BOT
mmelala tu na mmekalia politiki wenzenu wanatuibia!! Ukitaka kujua
mabenk wanaiba we ulizia bank statement ya mwezi tu halafu angalia
makato yako yani utakuta kwa mwezi kalipia elfu 7 hadi kumi haionekani
ilipo!!

Bora niweke chini ya godoro tu maana bank shida,simu pesa tabu aaargh!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom