ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Unatoa takwimu zinazoilinda kada hii ya uhasibu, We have ethics and Standards that need to be adhered to. Quality is the major goal. Heri wafaulu 1% kuliko 99% wenye elimu za kuunga unga vyuoni. HUYU NDO MSEMA KWELI.....
"Proud to be an Accountant"
kwa hiyo wwale waliofaulu kwa kubahatisha hawajumlishwi nini na chengine au bado kale kamchezo kao kakutaka wanahitimu 200 bado kapo nini..
poleni sana mnaotafutia cpa (t) makazini mtakufa bure..