Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Wakati mchakato wa kuwashughulikia wateule wa rais wanaoshiriki au wanaoshindwa kuwashughulikia washiriki wa ubadhirifu wa fedha za UMA, kuna haja sasa ya kuona wahasibu wote walioshiriki katika kufanikisha ubadhirifu huu wanashughulikiwa tokea pande zote.
Nikitegemea kuwa joto ambalo serikali hii inapitia sasa, kutokana na kuwa dormant kwa muda mrefu, sasa itaamka na kuanza kuwashughulikia watumishi wote walioshiriki kwenye ubadhirifu huu.
Nadhani niwakati muafaka kutokea hapa JF kuanza kuibana board ya Uhasibu ama kuwafutia Qualification zao, au kusitisha membership ya wahasibu wote ambao wanashindwa kusimamia hesabu na mifumo ya udhibiti fedha za UMA kuanzia na wale ambao wanahusika na ubadhirifu ulioainishwa kwenye reports za CAG kama zilivyowasilishwa kwenye Bunge hili.
Kwa msaada, wale wanaowafahamu wahasibu kwenye Idara na Halmashauri zote zilikutwa na ubadhirifu watuwekee hapa majina nikiamini kwa namna hii JF itakuwa imetimiza wajibu wake kwa UMA ipasavyo.
Nikitegemea kuwa joto ambalo serikali hii inapitia sasa, kutokana na kuwa dormant kwa muda mrefu, sasa itaamka na kuanza kuwashughulikia watumishi wote walioshiriki kwenye ubadhirifu huu.
Nadhani niwakati muafaka kutokea hapa JF kuanza kuibana board ya Uhasibu ama kuwafutia Qualification zao, au kusitisha membership ya wahasibu wote ambao wanashindwa kusimamia hesabu na mifumo ya udhibiti fedha za UMA kuanzia na wale ambao wanahusika na ubadhirifu ulioainishwa kwenye reports za CAG kama zilivyowasilishwa kwenye Bunge hili.
Kwa msaada, wale wanaowafahamu wahasibu kwenye Idara na Halmashauri zote zilikutwa na ubadhirifu watuwekee hapa majina nikiamini kwa namna hii JF itakuwa imetimiza wajibu wake kwa UMA ipasavyo.