kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,640
- 14,782
- Thread starter
- #81
asante kwa taarifa shemeji
ila mbona nimeambiwa unatoka na figganigga? sasa jamaa unamuulizia wa nini?
Last edited by a moderator:
asante kwa taarifa shemeji
ila mbona nimeambiwa unatoka na figganigga? sasa jamaa unamuulizia wa nini?
it was gafla bin vuu!! na hvyo bado nipo hewani kimachale machale wangu...
Kaizer hizo conlict of interest na mimi au!!!!!!!Hapa napita nina conflict of interest
Sio anatoka na mimi. Heaven on earth ni ubavu wangu yaani mke wangu so unapo mtaja tumia heshima. miaila mbona nimeambiwa unatoka na figganigga? sasa jamaa unamuulizia wa nini?
my wii hivi UNDENIABLE umenionea wapi!!!!!!!
mara ya mwisho alisema anapatikana jukwaa la Siasa ila mbona simuoni kabisa!!!!!!!!
ukimuona umpe salam zangu
anamjua sana tu! ila kashanipa hali halisi! nothing to fear...
Heaven on earth i miss u...
makubwa!. Mia
Mamndenyi naomba uje kunielewesha hii kauli. Spendi kuona napishana lugha na mke wangu. Naomba unitranslatie hayo maneno ya kwanza. Mbona kama yamekaa style ya kuukwaza moyo wangu?. mia
shansarie nakuomba umuonye mmeo. Mwambie awe na adabu sio kumzoea zoea mke wangu. Anammisimisi nini mke wa mtu?. Hayo macho mia mia yake ayalete kwako. Mia
Sio anatoka na mimi. Heaven on earth ni ubavu wangu yaani mke wangu so unapo mtaja tumia heshima. mia
swtyheart! kinote book chako hukukisoma kabisa..
luv u too
khah unaniagia kwenye notebook tumefikia huko ungeweka kwenye bible ningekipata haraka zaidi
usishangae jamani ni salam za kawaida tu
baby figganigga naomba unisamehe I never ment to hurt you
nimeweka ka kiingereza kuonyesha msisitizo,ila kwani kuna ubaya mtu ku miss shemeji yake