Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Wadau mbona mnapenda sana kumaind vitu vidogo tu jamaa katoa tu habari ili watu tuchangie sasa mnaanza kumponda kwa nini kama huna la maana kwa nini usichill kimya????Sio fresh jamani hapa sehemu ya kubadilishana mawazo sio sehemu ya kubishana
Akatafute mahalai pengine pa kupotezea muds BubU leo umeongea, huyu njamaa bonge la mzushi, kwanza hata kama ni kweli inaonekana hujui ama kumkoleza mke mpaka anakataa kuhamia kwako au ulioa baada ya kufanyiwa mambo ya concrete machine.