Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,860
Penda kuwa cul usimuoneshe kuwa una mawivu coz huwa wanacheka na kujisikia raha sana.Kila mtu ana wivu haswa mukiwa mbali cha kufanya tafuta kademu alafu mzarau kwa si lolote si chochote hata kama anakucheat ili umuhamishie hali hiyo ya wivu yeye.WENZIO HUWA TUNAUMIA ILA HATUFOKI WALA NIN TUNAKAUSHA ILI AJIONE *****.