Tanzania 1
Senior Member
- Oct 4, 2007
- 197
- 24
Najaribu kujiuliza km unastahili kupewa pole au la.
Anyway, kuomba msamaha pekee si suluhisho la kudumu. Mimi, wewe, na yeyote mwingine, tuna weaknesses zetu, na kila mmoja wetu anazijua zake; tatizo ni kukataa kuwa hatuna udhaifu, ambalo nalo ni udhaifu.
Kwa ufupi, tuliza bongo na uzifukue weaknesses zako, vizuri ni kuziorodhesha kwa kuziandika, kisha tafuta njia ya kuziondoa. "Self awareness is the beginning of changes to the better". Ukifanikiwa hili, basi hata samahani yako kwa mwenzako itakuwa ya dhati.
Usipoteze muda na nguvu kwa kutaka kufuta kosa kwa kosa jingine, km unavyotaka hivi sasa (kutokana na jinsi ulivyoomba ushauri).
Kila la kheri!
Anyway, kuomba msamaha pekee si suluhisho la kudumu. Mimi, wewe, na yeyote mwingine, tuna weaknesses zetu, na kila mmoja wetu anazijua zake; tatizo ni kukataa kuwa hatuna udhaifu, ambalo nalo ni udhaifu.
Kwa ufupi, tuliza bongo na uzifukue weaknesses zako, vizuri ni kuziorodhesha kwa kuziandika, kisha tafuta njia ya kuziondoa. "Self awareness is the beginning of changes to the better". Ukifanikiwa hili, basi hata samahani yako kwa mwenzako itakuwa ya dhati.
Usipoteze muda na nguvu kwa kutaka kufuta kosa kwa kosa jingine, km unavyotaka hivi sasa (kutokana na jinsi ulivyoomba ushauri).
Kila la kheri!