15,000?....sorry,kuna vitu bongo ni bei rahis kuliko huku utumwani.
HDMI cable zinapatikana Dar kwa wastani wa sh. 15000 kwa urefu wa mita 1.5. Bei inategemea ubora wake pamoja na urefu wake.Mimi hununua kwa MUSA TELECOM hapo Kariakoo simu yao ni 0713777123.
Asante ndugu ,nikiingia Darisalama nitaenda hapa Musa Telecom,huyo bwana si ndio yule alikuwa watu wa mwanzo kuwa na Internate cafe yenye games pale Kariakoo karibu na kijiwe cha wauza madini ,ofisi yake ilikuwa kwenye ghorofa ,ni mitaa kutoka pale kwa kituo cha bakhresa ukitokea Morogoro roadHDMI cable zinapatikana Dar kwa wastani wa sh. 15000 kwa urefu wa mita 1.5. Bei inategemea ubora wake pamoja na urefu wake.Mimi hununua kwa MUSA TELECOM hapo Kariakoo simu yao ni 0713777123.