SOKETI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 206
- 50
.....wakati wa kula hasa chakula usichokifahamu, ni kawaida ya mwanadamu kuonja kwanza. Mwonjaji akisharidhika na chakula ndipo huagiza/huitaji chakula tayari kwa kula hadi anapotosheka na akikipenda chakula atakila kila anapojisikia maishani mwake. Je, ni vyema kujaribu kufanya mapenzi na mpenzi wako kabla hamjaoana, au ndo itakuwa mnapasha kiporo wakati mkisha oana?